Midege ya Marekani yaanza kuingia Israel kujiandaa na ziara ya Trump

ze kokuyo

JF-Expert Member
Jan 24, 2014
7,417
9,604
ff8ac80e139887b80272625291fc2c3d.jpg
d2e0ca915d2058212128fc518114a8c7.jpg
C-17 Globemaster


Dege la kwanza la Marekani maalumu kwa usafirishaji wa mizigo ya kijeshi lawasili uwanja wa ndege wa kimataifa wa Ben-Gurion nchini Israel likiwa limebeba mamia ya tani za mizigo yakiwemo magari na vifaa vingine maalum kabisa kwa ajili ya ziara ya Rais wa Marekani, Donald Trump.

a9ed52a494c56ac1f331e85f7be9afe1.jpg


Madege mengine 30 kama hayo yanatarajiwa kuwasili nchini Israel yakiwa na magari,magari ya Rais(The beast) na malori ambayo yatakua yamebeba vifaa maalumu(armoured glass) ambayo vitafungwa kwenye madirisha ya hoteli atakayolala Rais Trump.

3fdbb2eec3b43937e4890ddddea8f275.jpg
Airforce One


Ziara hiyo ya Rais wa Marekani itajumuisha watu takribani 900: wafanyakazi wa kuendesha hvyo vifaa, wahudumu wa afya, wanausalama, wataalam wa kompyuta, waratibu wa ziara na maafisa wa ikulu.

8296f45957a3c6420db60bddd8fdd326.jpg
The Beast
3e9e56ffd62393d99770a58b41988f8b.jpg


Maafisa 20 wa secret service ndio watakaoandamana na Rais na ndio watahusika na usalama wake.
Baadhi ya maafisa wa ngazi mbalimbali wameshawasili ili kushirikiana na maafisa wenyeji wa Israel kwa ajili ya kuhakikisha usalama kwa maeneo yote ambayo Rais Donald Trump anatarajiwa kutembelea: Jerusalem, Bethlehem, Masada na Ramallah.
 
JPM akiwa ana enda nje ya nchi, bombadier aka mapanga shaa, zita tangulia kwa ajili ya usalama
na Raus ataongozana na makomandoo wenye uwezo wa kupasua matofali kwa ngumi (kama wale wa siku ya Muungano) takriban wa tano watakao mlinda.
Acha kebehi pimbi wewe unakunya kwa raha kwa sababu ya hao makomandoo wanao jitolea maisha yao kukulinda
 
kuna speech yake flan ali itoa Liberty pale pale, sidhani kama ilikuwa ni conmencement but likuwa poa sana.
mchizi kwenye mambo ya motivation and bussiness ana speech kali sana
True jamaa motivation speech yupo vizuri anakupa real life examples kama ya jana ile ilikuwa fresh speech I wish nasisi tuwe tunawapa graduates wetu vitu zile aisee yani iko full na anakuingizia na business issues yani unaiona dunia ilivo no wonder jamaa linawaoutsmart watu wenye akili zao! Never ever quit!
 
True jamaa motivation speech yupo vizuri anakupa real life examples kama ya jana ile ilikuwa fresh speech I wish nasisi tuwe tunawapa graduates wetu vitu zile aisee yani iko full na anakuingizia na business issues yani unaiona dunia ilivo no wonder jamaa linawaoutsmart watu wenye akili zao! Never ever quit!
he is in Word Book of records, kwa kulipwa pesa nyingi za speech per hour alikuwa analipwa USD 1.5 M per hour. jamaa ana jua.
alienda Liberty mwak 2012 aliongea mambo machache na ya maana! na alisema usualy huwa analipwa lakin pale ameongea for free
 
he is in Word Book of records, kwa kulipwa pesa nyingi za speech per hour alikuwa analipwa USD 1.5 M per hour. jamaa ana jua.
alienda Liberty mwak 2012 aliongea mambo machache na ya maana! na alisema usualy huwa analipwa lakin pake ameongea for free
Nimetokea kumkubali huyu jamaa since 2015, yani nimejikuta napenda kumjua zaidi tu unajua wengi wanaomchukia hawajampa nafasi wakamsikiliza they know jus tip of iceberg, kwamba trump mbaguzi et al. But he is a very good human being, nasikiliza speech zake almost zote nikiwa nimekaa napumzika nshaacha kucheki movies naona bora nimsikilize huyu jamaa ana vitu flani ivi very special akitulia anatema madini tu. Hope wewe unamjua zaidi
 
Back
Top Bottom