GIPAMA
JF-Expert Member
- May 21, 2016
- 1,103
- 543
Wakuu, mwenye kuijua hii program naomba anipe ujuzi kidogo. Mfano vitu vya mhimu ni kama vipi? Je, hasahasa inatumika kwa mambo yapi?
Mfano mtu akikuuliza unajua nini katika microsoft excell unapaswa kumjibu vitu vipi ambavyo ni mhimu katika program hiyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mfano mtu akikuuliza unajua nini katika microsoft excell unapaswa kumjibu vitu vipi ambavyo ni mhimu katika program hiyo?
Sent using Jamii Forums mobile app