Wkaijage Senior Member Joined Feb 14, 2012 Posts 195 Reaction score 13 Apr 25, 2012 #1 Habari wanajamvi! Inasemekana kuwa kwenye michuano hii,endapo mchezaji mmoja wa club anapopewa kadi nyekundu basi ni vigumu kutolewa kwa kadi nyingine nyekundu kwenye hiyo hiyo club. Ushauri wenu wakuu!
Habari wanajamvi! Inasemekana kuwa kwenye michuano hii,endapo mchezaji mmoja wa club anapopewa kadi nyekundu basi ni vigumu kutolewa kwa kadi nyingine nyekundu kwenye hiyo hiyo club. Ushauri wenu wakuu!