Idrissou02
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 354
- 658
Mbhmkuu kwenye tangazo kunavitu muhimu vyakuzingatia ikiwa wapi bidhaa/wewe ulipo, mawasiliano. haili ya bidhaa/ukubwa na mengine mengine muhimu ambayo yanamsaidia mteja
Gharama mche mmoja 3000 isipokuwa mipapai ya kisasa ambayo ni 5000....bidhaa zipo vizuri karibu sanaMimi ni mwanafunzi wa Sua nauza miche ya mipera, miembe, michungwa , ndimu na kadhalika
Nakusafirishia popote ulipo...gharama ni constant ila usafiri maelewano
tuma picha kama uko seriousGharama mche mmoja 3000 isipokuwa mipapai ya kisasa ambayo ni 5000....bidhaa zipo vizuri karibu sana
Mwanafunzi wa degree hajui hata ingredients za tangazo, kazi ipo ndio maana wajisiliamali wasiosoma ndio successfulMimi ni mwanafunzi wa Sua nauza miche ya mipera, miembe, michungwa , ndimu na kadhalika
Nakusafirishia popote ulipo...gharama ni constant ila usafiri maelewano
Ndio ipo na katika hali nzuri pia nicheki kwny namba yangu iyo nikutumie pichaVipi unayo na miche ya matopetope?
Hapana ipo y matunda tuUna uza Miche ya korosho? Kama unauza ni sh ngapi na sifa zake tafadhari
tuma picha kama uko serious
tuma picha kama uko serious
Si ndio unanicheki kwny iyo namba nikupe information izo siwez sema kila kitu apo juu...au naomba namba yakoUngetuelewesha sisi tunaopenda kilimo ila hatuna Abc zake. Miembe inachukua muda gani hadi ikomae ? kwa mwaka unavuna mara ngapi ? maeneo gani yanafaa zaidi ?
Una uza Miche ya korosho? Kama unauza ni sh ngapi na sifa zake tafadhari
Haina shida boss... Nafikiri sio kitu kibaya... Naomba nikutafute kwa maelezo zaidi...Miche ya korosho tunayo kwa gharama ya shilingi 1000 kwa mche.
Ni miche ya kisasa inayoanza kuzaa baada ya miaka mitatu (3).
Tunapatikana Kibaha Pwani.
0766006128
0655715184
(Samahani kwa kuingilia uzi... ni baada ya kuona mtoa uzi hana miche ya korosho)View attachment 1128849
Karibu sanaHaina shida boss... Nafikiri sio kitu kibaya... Naomba nikutafute kwa maelezo zaidi...
Kiongozio una miti ya mbao pia?Karibu sana