Miaka zaidi ya 50 ya uhuru: Kwa hali hii CCM wanasababu gani ya kutaka kuendelea kuchaguliwa?

Wakati wabunge wanalamba sitting allowace, hii ndio hali ya wananchi wao.

Sometimes inabidi tuweke siasa zetu za uvyama pembeni na hawa wanasiasa wote tuwaweke kwenya kapu moja maana kwenye hili la allowance hawana tofauti

Mmebana watumishi wa umma kila kona ili kubana matumizi ila bila aibu nyie wanasiasa mnalipana sitting allowance na wote mmeridhika huku wananchi wenu hali zao zikiwa duni kiasi hiki!!

Pathetic!
 
Hoja sio CCM kuchaguliwa, hoja ni nani mbadala wa CCM.

Waliosema Jini likujualo halikuli likakwisha hawakuwa wajinga.
 
Inasikitisha Sana, na Kuna ile nyingine wamewaweka watoto kwenye zizi la ng'ombe wakimsubili mwalimu aje kuwafundisha.
 
haja iko kwa sabab wapga kura weng wa tanzania n wapumbav na malofa hyo ndo sir ya ccm kushnda kila uchaguz na wala sio vngnevyo! na upnzan wasahau kushka dola ktk hal hii,2019 kila ki2 kitaenda mswano kwa maandaliz ya 2020!
 
Sw
Wakati wabunge wanalamba sitting allowace, hii ndio hali ya wananchi wao.

Sometimes inabidi tuweke siasa zetu za uvyama pembeni na hawa wanasiasa wote tuwaweke kwenya kapu moja maana kwenye hili la allowance hawana tofauti

Mmebana watumishi wa umma kila kona ili kubana matumizi ila bila aibu nyie wanasiasa mnalipana sitting allowance na wote mmeridhika huku wananchi wenu hali zao zikiwa duni kiasi hiki!!

Pathetic!
Tatizo si allowance wanazokula, swala la msingi linatokana na kukosa nia kwa waliowengi....kwa hili wapinzani nawatetea, tumekuwa tukishuhudia namna wana ccm kwa umoja wao wanavyopinga hoja za maendeleo ikiwemo za kutatua kero za mfumo wa Elimu. Ccm kama chama tawala ni dhahiri kimeshindwa kutimiza ndoto za wananchi. Hata hivyo tunashukuru dalili zote zinaonesha kinaelekea ukingoni
 
Wewe kipimo chako cha maendeleo ni shule 1 tu?.Mbona zipo shule nyingi tu zina majengo mazuri.Umechunguza chanzo cha shule hiyo kubakia hivyo?.No research no right to ...........
Kwakuwa hapo hakuna mwanao!!

Mbinafsi mkubwa wee!!
 
Tatizo sio ccm wala nini.

Tatizo hakuna chama mbadala.

Vyama vya upinzani vimeendelea kulelewa na ccm.
Havina agenda mbadala inayoweza kueleweka.
Vyama vya upinzani vinsubiri ccm imeguke ndipo vijizatiti.

Mienendo ya vyama hivi inatia mashaka mno.
Viongozi walioko kwenye vyama hivi hawana maono ya mbali, hivyo wanasubiri matukio na yakipita tu basi vinakosa cha kujitetea.

Mfano....Agenda za kifisadi vyama vya upinzani vimekubali tu view vya kifisadi.
Agenda ya uzalendo. Vyama vya upinzani vimekosa uzalendo..kila linalofanywa na serikali liwe jema ama baya vyenyewe havieleweki vizuri viko uande upi.
 
Tatizo sio ccm wala nini.

Tatizo hakuna chama mbadala.

Vyama vya upinzani vimeendelea kulelewa na ccm.
Havina agenda mbadala inayoweza kueleweka.
Vyama vya upinzani vinsubiri ccm imeguke ndipo vijizatiti.

Mienendo ya vyama hivi inatia mashaka mno.
Viongozi walioko kwenye vyama hivi hawana maono ya mbali, hivyo wanasubiri matukio na yakipita tu basi vinakosa cha kujitetea.

Mfano....Agenda za kifisadi vyama vya upinzani vimekubali tu view vya kifisadi.
Agenda ya uzalendo. Vyama vya upinzani vimekosa uzalendo..kila linalofanywa na serikali liwe jema ama baya vyenyewe havieleweki vizuri viko uande upi.
Hivi wapinzani ndio wamesababisha mahakama ya mafisafi kukosa watuhumiwa?
 
Hakuna mbadala wa CCM ...lakini hukatazwi kuipa changamoto serikali ya CCM katika kutekeleza ilani na ahadi zake...na pia katika kubuni Ilani na ahadi kadri muda unavyobadilika.

CCM HAIBADILIKI BALI ILA REJUVINATE KILA MARA....NA NDIO MAANA IMEENDELEA KUWA KIMBILIO LA WANYONGE KILA MARA.

Mange badala ya kushawishi jamii ya Nanyumbu ijenge chumba cha darasa yeye anaishia kupost picha na blah blah...Hata huko US alipo kuna watu na watoto wanaoshindwa kupata elimu.sembuse hapa kwetu tunapata elimu bure katika mazingira yenye changamoto.
 
Back
Top Bottom