Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 14,501
- 27,000
Salamu ni hapo juu!
Hii kitu sio rahisi kuelewa, what’s the motive behind this?
Kila mwaka tunafanya maadhimisho ya kushangilia 'a world proven failure' kwenye mapambano dhidi ya Virusi Vya UKIMWI! Tunashangilia nini, tena kwa bajeti kubwa na posho kwa washiriki.
Miaka 40, kwenye dunia iliyojaa magwiji kwenye maabara za kitafiti. Haingii akilini kushindwa kabisa, kuna wachache wenye maslahi. Corona hii hapa, miezi kadhaa tu tayari inasemekana chanjo imepatikana. Na pengine ni tiba kabisa, kwanini sio VVU?
Kumekuwa na ripoti mbalimbali za kitafiti zikidai kupatikana kwa chanjo/tiba ya VVU, lakini zimekuwa zikizimwa very soon after!
Je, na hii ya corona itazimwa? Je, kuna nani nyuma ya majanga kama haya ambaye ni mnufaika? Kuna jitihada zozote 'za kweli' zinazoendelea kuondokana na hili janga? Kama zipo, kuna tumaini lolote so far?
Kama hali ndo hii, tunaadhimisha kwa muktadha upi, tunanyoosha mikono na kukiri kushindwa!
Miaka 40, VVU bado vipo na vitakuwepo sana.
PIMA, JITAMBUE, ISHI.
Hii kitu sio rahisi kuelewa, what’s the motive behind this?
Kila mwaka tunafanya maadhimisho ya kushangilia 'a world proven failure' kwenye mapambano dhidi ya Virusi Vya UKIMWI! Tunashangilia nini, tena kwa bajeti kubwa na posho kwa washiriki.
Miaka 40, kwenye dunia iliyojaa magwiji kwenye maabara za kitafiti. Haingii akilini kushindwa kabisa, kuna wachache wenye maslahi. Corona hii hapa, miezi kadhaa tu tayari inasemekana chanjo imepatikana. Na pengine ni tiba kabisa, kwanini sio VVU?
Kumekuwa na ripoti mbalimbali za kitafiti zikidai kupatikana kwa chanjo/tiba ya VVU, lakini zimekuwa zikizimwa very soon after!
Je, na hii ya corona itazimwa? Je, kuna nani nyuma ya majanga kama haya ambaye ni mnufaika? Kuna jitihada zozote 'za kweli' zinazoendelea kuondokana na hili janga? Kama zipo, kuna tumaini lolote so far?
Kama hali ndo hii, tunaadhimisha kwa muktadha upi, tunanyoosha mikono na kukiri kushindwa!
Miaka 40, VVU bado vipo na vitakuwepo sana.
PIMA, JITAMBUE, ISHI.