Nguva Jike
JF-Expert Member
- Jan 22, 2018
- 853
- 1,005
Habari Ndugu watanzania.
Kwa masikitiko makubwa naandika andiko hili munipe ushauri.Mdogo Wangu anafanya kazi shirika binafsi linaloshirikiana na serikali.
Mwezi Aprili alipishana maneno na bosi wake katika matumizi ya gari la ofisi.Aliakamnyima. akatekeleze majukumu kijijini bosi akamnyima.
Kazi iliposhindikana bosi akamlaumu mdogo Wangu Kwa uzembe japo Mdogo Wangu hakuomba mafuta alikuwa tayari kutoa pesa yake.
Bosi akampeleka Mdogo Wangu Kwa wakubwa hivi ninavyoandika Mdogo Wangu yupo hatua za mwisho kuzuiliwa mshahara wake.Miaka saba ya uvumilivu bila nyongeza Leo nyongeza ya mama Samia hataifurahia.
Naombeni ushauri wenu nimsaidiaje au niripoti wapi nyanyaso hili?
Kwa masikitiko makubwa naandika andiko hili munipe ushauri.Mdogo Wangu anafanya kazi shirika binafsi linaloshirikiana na serikali.
Mwezi Aprili alipishana maneno na bosi wake katika matumizi ya gari la ofisi.Aliakamnyima. akatekeleze majukumu kijijini bosi akamnyima.
Kazi iliposhindikana bosi akamlaumu mdogo Wangu Kwa uzembe japo Mdogo Wangu hakuomba mafuta alikuwa tayari kutoa pesa yake.
Bosi akampeleka Mdogo Wangu Kwa wakubwa hivi ninavyoandika Mdogo Wangu yupo hatua za mwisho kuzuiliwa mshahara wake.Miaka saba ya uvumilivu bila nyongeza Leo nyongeza ya mama Samia hataifurahia.
Naombeni ushauri wenu nimsaidiaje au niripoti wapi nyanyaso hili?