Miaka 3 mtaani

Miaka 3 mtaani

Junior Tata

Member
Joined
Oct 18, 2015
Posts
18
Reaction score
2
WanaJF wenzangu nina diploma ya Water Supply Engineering (GPA 4.210), Form 4 nilipata div. II ya point 21 ndo nikachaguliwa technical college, huu n mwaka wa tatu sasa nipo mtaan, naomben msaada
 
Mkuu ungejiunga na Bachelor degree, ukaendelea na masomo, kwa muda unavoenda, bora ungeendelea na masomo tu!
 
Pole sana, unaweza kuamua kukusanya wenzako kama 6 hivi wwnye ujuzi kama wako, mkatafuta eneo, kijiji au makazi ya watu. Kisha mkaanzisha mradi wa kusambaza maji katika eneo hilo. Kama upo Dar maeneo ya nje ya mji kama kongowe, mkuranga kuna uhitaji mkubwa wa miradi kama hiyo. Cha kufanya,

1. Anzisheni kampuni na muisajili
2. Fanyeni Tafiti kutafuta eneo ktk kijiji mlichokichagua lenye uwezekano wa kuwa na maji safi yasiyo na chumvi pia na kuangalia watu wangapi wanaweza kuwa wateja wenu
3. Changishaneni mitaji au muangalie uwezekano wa kukopa kama mnakopeshekka.
4. Chimbeni Kisima cha maji na nunueni mashine au mitambo muafaka itakayowezesha kusukuma maji kuwafikia watumiaji.
5. Anzeni kuwaunganisha watumiaji wa maji, kila mteja atanunua vifaa vyake mwenyewe kama mita na mabomba.

Hapo utakuwa umejiajiri tayari.
 
Huku mtaani ndio kuna hela nyingi na changamoto ya uhaba wa maji ni kuuubwa sana, so tumia elimu yako hiyo ulete majibu ya changamoto hiyo ili upige hela.
 
Pole sana, unaweza kuamua kukusanya wenzako kama 6 hivi wwnye ujuzi kama wako, mkatafuta eneo, kijiji au makazi ya watu. Kisha mkaanzisha mradi wa kusambaza maji katika eneo hilo. Kama upo Dar maeneo ya nje ya mji kama kongowe, mkuranga kuna uhitaji mkubwa wa miradi kama hiyo. Cha kufanya,

1. Anzisheni kampuni na muisajili
2. Fanyeni Tafiti kutafuta eneo ktk kijiji mlichokichagua lenye uwezekano wa kuwa na maji safi yasiyo na chumvi pia na kuangalia watu wangapi wanaweza kuwa wateja wenu
3. Changishaneni mitaji au muangalie uwezekano wa kukopa kama mnakopeshekka.
4. Chimbeni Kisima cha maji na nunueni mashine au mitambo muafaka itakayowezesha kusukuma maji kuwafikia watumiaji.
5. Anzeni kuwaunganisha watumiaji wa maji, kila mteja atanunua vifaa vyake mwenyewe kama mita na mabomba.

Hapo utakuwa umejiajiri tayari.

wazo zur mkuu naweza kukufuata inbox kwa ushaur zaidi?
 
Pole sana, unaweza kuamua kukusanya wenzako kama 6 hivi wwnye ujuzi kama wako, mkatafuta eneo, kijiji au makazi ya watu. Kisha mkaanzisha mradi wa kusambaza maji katika eneo hilo. Kama upo Dar maeneo ya nje ya mji kama kongowe, mkuranga kuna uhitaji mkubwa wa miradi kama hiyo. Cha kufanya,

1. Anzisheni kampuni na muisajili
2. Fanyeni Tafiti kutafuta eneo ktk kijiji mlichokichagua lenye uwezekano wa kuwa na maji safi yasiyo na chumvi pia na kuangalia watu wangapi wanaweza kuwa wateja wenu
3. Changishaneni mitaji au muangalie uwezekano wa kukopa kama mnakopeshekka.
4. Chimbeni Kisima cha maji na nunueni mashine au mitambo muafaka itakayowezesha kusukuma maji kuwafikia watumiaji.
5. Anzeni kuwaunganisha watumiaji wa maji, kila mteja atanunua vifaa vyake mwenyewe kama mita na mabomba.

Hapo utakuwa umejiajiri tayari.

wazo zuri sana, ila kuna maisha niliwahi kuyapitia ya kuamka na njaa kali (usiku hukula) na mia mfukoni huna basi utekelezaji wa ushauri wako unakuwa ni ndoto.

hapo kwenye blue panahitaji hela za kazi, ushauri wa namna ya kupata hizo fedha mimi mwenyewe nautaka, funguka
 
wazo zur mkuu naweza kukufuata inbox kwa ushaur zaidi?

Inbox karibu, lakini Wana Jamii wana michango mingi mizuri, ukiweka hadharani wengi wanaweza ku respond, by the way nimetoa ushauri si kwa maana kuwa mtaalamu wa hiyo field yako, bali nimeona vijana mtaani kwetu kijichi wakijiajiri hivyo
 
Daah!!pole ndg ungejaribu kufanya kitu kingn kwa moyo wote hukohuko mtaani miaka 3 sio knyonge ujue inaonesha ww ulikua unafanya kazi zngn huku ukichanganya na mawazo ya kuajiriwa kwa hcho ulichosomea ndo mana unaona mtaani jau.
 
Pole sana sio wewe tu kaka tupo wengi wa dizain yako ingawa sio ktk field hiyo. Mwenyezi mungu tunyooshee mkono wa Kheri sisi waja wako ameen
 
Ingekuwa zamani ni moja kwa moja ungepelekwa wizara ya maji au ktk tasisi zake lakin now days mambo ni tofaut sna kupata ajira kumetengenezewa mfumo wake tofauti kabsa
 
Ninakushauri tafuta fundi bomba hawa,halafu jiunge nae akufundishe kazi kisha uwe unafanya nae kazi....uzoefu utaoupata na pesa vitafanya ufungue ofisi yako...ondoa mawazo yakuwa katika mfumo rasmi na kuwa kiongozi wakat uzoefu huna...
 
usichoke kutafuta huku na huku ndugu ipo siku milango itafunguka
 
Vumilia hauko peke yako na usiangalie gpa kama kigezo cha kupata kazi...we komaa aisee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom