Nina mpenzi wangu ambaye kiukweli kwa umri amenizidi(sio tatizo)ana mtoto 1 tumekua tukipendana sana ila kwa sasa tuko mikoa tofauti na yeye ameweka matumaini ya mm kurudi lakini kwangu imekua ngumu na pia najiona c mtu sahihi kwake na mpaka leo naleta hili mbele yenu yapata week nimemchunia na yeye amekua akinitafuta na cm zake cpokei sasa wana jukwaa naombeni ushauri nifanyaje kwani bado nampenda ila najiona kama c mtu sahihi kuwa nae
Naombeni ushauri wenu nifanyaje tafadhali usinitusi kama uzi huu utakubore
Mi me najiona si mtu sahihi kwasababu naona life plan yake na yangu ni tofauti but issue ni kuwa nampenda na cjui nifanyaje kumuacha nataka lakini pia ctaki so niko dilema
Basi Ongea naye umwambie yote hayo, ni ngumu kwenu wote but kumwambia ukweli itamsaidia zaidi kuliko unavyomkalia kimya,; ingawa anaweza asikuelewe pia. Unampa maswali mengi yasiyo na majibu sasa hivi, just funguka
Basi Ongea naye umwambie yote hayo, ni ngumu kwenu wote but kumwambia ukweli itamsaidia zaidi kuliko unavyomkalia kimya,; ingawa anaweza asikuelewe pia. Unampa maswali mengi yasiyo na majibu sasa hivi, just funguka
Umri kwangu co tatizo, nampenda sana tatizo naona niko kinyume sana na mtazamo wake kimaisha pia nahisi kama namchelewesha ye kuvuka hatua nyingine ktk maisha
Umri kwangu co tatizo, nampenda sana tatizo naona niko kinyume sana na mtazamo wake kimaisha pia nahisi kama namchelewesha ye kuvuka hatua nyingine ktk maisha