vkeisy2006
JF-Expert Member
- Mar 26, 2010
- 229
- 99
Jamani mi sielewi labda mniambie kwani hii avatar ina tatizo gani.....unaujua ule msemo unaosema usione ukazani.....ndo naomba utumike hapa.....naomba pia niwaombe radhi wale wote waliokwazika na hii avatar na pia niwasahihishe wale wote waliosema nipo kibiashara zaidi coz NO HELL NO am not ni vile tuu niliipenda hiyo avatar thats y nikaiweka hapo ilipo niliiona tu ya kawaida kam ile tu ya cheusimangala,na wengineo.....sikuona tatizo lolote lakini kumbe ina walakini mi sikuuona coz i think it luks gud....au?watu wanasema nibadilishe niweke nyingine ndo watanisaidia shida yangu jamni kweli huu sio ubaguzi eeh mana mimi i like it au?na it seems okey labda nakosea.....sijielewi au?mimi najirespect sana ile ni avatar tuu ambayo mtu yeyote anaweza akaweka msinifikirie vibaya jamani eeeh wan JF
Umri utakuwa unamsumbua. Si unajua hawa matineja?Halafu na wewe una maneno mengi! Hebu ondoa hiyo kitu hapo!
AK-47 aliyekuambia hiyo ni kifua ni nani hebu iangalie muda mrefu ilatela picha nyingi hapo....mi naona sio kifua bana...au...
AK-47 aliyekuambia hiyo ni kifua ni nani hebu iangalie muda mrefu ilatela picha nyingi hapo....mi naona sio kifua bana...au...
Jamani mi sielewi labda mniambie kwani hii avatar ina tatizo gani.....unaujua ule msemo unaosema usione ukazani.....ndo naomba utumike hapa.....naomba pia niwaombe radhi wale wote waliokwazika na hii avatar na pia niwasahihishe wale wote waliosema nipo kibiashara zaidi coz NO HELL NO am not ni vile tuu niliipenda hiyo avatar thats y nikaiweka hapo ilipo niliiona tu ya kawaida kam ile tu ya cheusimangala,na wengineo.....sikuona tatizo lolote lakini kumbe ina walakini mi sikuuona coz i think it luks gud....au?watu wanasema nibadilishe niweke nyingine ndo watanisaidia shida yangu jamni kweli huu sio ubaguzi eeh mana mimi i like it au?na it seems okey labda nakosea.....sijielewi au?mimi najirespect sana ile ni avatar tuu ambayo mtu yeyote anaweza akaweka msinifikirie vibaya jamani eeeh wan JF
HIKI SI KIFUA TUU AU MI CJAONA VIZURI......kwani hii nini au misioni vizuri au dah lakini poa ngoja toe ila against my will
Umerudi Mama? Pole sana...
Haijakaa vizuri vkeisy2006.. Badilisha plz.
Itoe basi..........
he kumbe haya nabdilish a