anashuka mistari kwako..jamaa anaongea flat tuu yan ahamasishi mtu kuendelea kumsikiliza inshort hana jipya uwez compare kabisa na tundu lissu alivoongea last week sema ndo ivo uwezo watu wanatofautiana...sina chama mkuu me nasikiliza kitu anachoongea mtu sifuati upepo kibwegebwege tuu