Jamaa..kumbe mawaziri wake wameurithi utaratibu wa kushukuru na kupongeza kama moja ya agenda za mkutano kutoka kwake!..ananyanyua glass mpaka anaifikisha kinywani bado anaongea, anasema kukomesha piracy east africa atengenezewe jela nzuri za kuwaadhibu hao maharamia!
kaniua jamaa mmoja pale dak.16:45...kampotezea Raisi wetu kwa vitendo