Mhe. Lissu kwa mtindo wa siasa na hamasa duni kwa sisi wapiga kura wako 2015 maeneo ya isuna, mungaa, mang'onyi, ntuntu, matongo,mahambe (nyumban kwako), mpaka iglanson na kwngneko.
Umefanya siasa kinzani na serikali bila kujali tunaoumia ni sisi wananchi wa kawaida, fanya bidii upate viongoz ktk ngaz za vitongoji, vijiji na kata ndipo utapoweza kufuatilia na kusimamia maendeleo, vnginevyo utaishia kushabikiwa na kushangiliwa na watu ambao hata jimbon kwako hawapajui.
Mhe. Lissu kwa mtindo wa siasa na hamasa duni kwa sisi wapiga kura wako 2015 maeneo ya isuna, mungaa, mang'onyi, ntuntu, matongo,mahambe (nyumban kwako), mpaka iglanson na kwngneko.
Umefanya siasa kinzani na serikali bila kujali tunaoumia ni sisi wananchi wa kawaida, fanya bidii upate viongoz ktk ngaz za vitongoji, vijiji na kata ndipo utapoweza kufuatilia na kusimamia maendeleo, vnginevyo utaishia kushabikiwa na kushangiliwa na watu ambao hata jimbon kwako hawapajui.
We need Lissu more on National level,You can have another CCM lunatic to screw you for another fiver years if you want we don't care!!!!
Umeandika bila kufanya uchunguzi juu ya nini ulitakiwa kukiandika na kwa hiki ninachokuwekea hapa chini NIMEKUVUA UBONGO WAKO NA KUUACHA UCHI.
MITAAA
MAMBO MAZITO!!!!! TUNDU LISU AFANYA KUFURU KATIKA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAAA
·
TUNDU LISSU AFANYA KUFURU,
Licha ya baadhi vyombo vya habari na wana CCM kutangaza kuwa Tundu Lissu anapumulia mashine katika siasa za Singida Mashariki, matokeo ni kama ifuatavyo, Jimbo lina vijiji 50, Uchaguzi umefanyika katika vijiji 43, kwa sababu vijiji 7 uchaguzi umesimamishwa kwa amri ya mahakama, baada ya Lissu kuigaragaza serikali na hila za kuwawekea pingamizi wagombea wote wa Chadema, Katika vijiji 43 ambapo uchaguzi umefanyika Chadema wameshinda vijiji 40, CCM 2, na CUF 1. Katika vijiji 2 walivyoshinda CCM kupata nafasi ya mwenyekiti, wajumbe wa serikali za mitaa wote wanatoka CHADEMA, Kazi nzuri: Ujumbe wa Lissu anasema matokeo haya ni kiashiria kizuri kwa kura ya maoni ya katiba na uchaguzi Mkuu 2015, anasema wananchi sasa wanataka mabadiliko