Mhe. Lissu, 2015 imefika


Hao wanao mshabikia wana akili na uelewa kuliko wewe kilaza oza
 
katika majimbo yote ya Singida jimbo la Tundu Lissu ndilo lenye hali mbaya zaidi kimaendeleo
 

Umeandika bila kufanya uchunguzi juu ya nini ulitakiwa kukiandika na kwa hiki ninachokuwekea hapa chini NIMEKUVUA UBONGO WAKO NA KUUACHA UCHI.

MITAAA
MAMBO MAZITO!!!!! TUNDU LISU AFANYA KUFURU KATIKA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAAA





·
TUNDU LISSU AFANYA KUFURU,
Licha ya baadhi vyombo vya habari na wana CCM kutangaza kuwa Tundu Lissu anapumulia mashine katika siasa za Singida Mashariki, matokeo ni kama ifuatavyo, Jimbo lina vijiji 50, Uchaguzi umefanyika katika vijiji 43, kwa sababu vijiji 7 uchaguzi umesimamishwa kwa amri ya mahakama, baada ya Lissu kuigaragaza serikali na hila za kuwawekea pingamizi wagombea wote wa Chadema, Katika vijiji 43 ambapo uchaguzi umefanyika Chadema wameshinda vijiji 40, CCM 2, na CUF 1. Katika vijiji 2 walivyoshinda CCM kupata nafasi ya mwenyekiti, wajumbe wa serikali za mitaa wote wanatoka CHADEMA, Kazi nzuri: Ujumbe wa Lissu anasema matokeo haya ni kiashiria kizuri kwa kura ya maoni ya katiba na uchaguzi Mkuu 2015, anasema wananchi sasa wanataka mabadiliko


 
Kitendo cha kumjadili mtu fulani humu na c issues inaonyesha ni jinsi gani alivopotential na kuwanyima usingizi. At least tumefahamu lissu ni mbunge wa wapi, wengine hata ukiweka picha humu hajulikani na wananchi wake hawamjui hata kwa sura.
 
We need Lissu more on National level,You can have another CCM lunatic to screw you for another fiver years if you want we don't care!!!!

Matusi ya mini sasa wapeni watu nafasi ya kutoa mawazo tofauti.
 

Asante

cc mtoa mada
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…