Anatafutwa mtu aliyesomea uhasibu ngazi ya shahada. Awe na ujuzi mzuri wa kutumia tarakilishi (computer) na kama amewahi kutumia ''Finance Solution'' software itakuwa vyema sana.
Kazi hii ni kwa ajili ya tawi jipya la wilaya ya Temeke. Hivyo wakazi wa Temeke wanapewa kipaumbele zaidi.