Mhandisi Tarime kielelezo cha ufisadi tz

Mhandisi Tarime kielelezo cha ufisadi tz

Leonileo8809

Member
Joined
Dec 23, 2012
Posts
18
Reaction score
2
Kaimu mhandisi wilaya TRM Kassim Shabaan ametokea kudhihirisha usemi kuwa huwezi fanya kazi halmashauri bila rushes ukaendelea.

Jamaa kapelekwa majuzi tu lakini kajenga nyumba eneo la Tagota, thamani 150m, duka kubwa vifaa vya Umeme, na kaingiza rv4 Imesajiliwa majuzi tu CSN.

Kwa ukwapuaji huu jamaa atakuwa bilionea akikaa.
 
Wivu wa kike,ungesema kakwapua wapi na wapi kuna shortage,otherwise peleka taarifa yako PCCB itawasadia nao wamvute kidogo wazipunguze kwani PCCB siku hizi nao ni vinara.
 
Usipate shida nipe jina lake na kabla ya hapo alikuwa halmashauri gani tutamfatilia na kama ni kweli sheria itamshughulikia safi sana endeleeni kuwatoa kesho wazee wanakuja kumbeba trust me
 
Umbea na wivu, chapakazi leonileo acha majungu, kumbuka huyo ni muhandisi, sio kama wewe ka ofisa tu hapo halmashauri.
 
Acha hizo kwani unajua kabla ya hapo alikuwa wapi? Huo ni wivu wa kijinga.
 
Back
Top Bottom