Mhadhiri udom mtegoni


nimeuliza pia upande wa pili hujajibu: Inapotokea wanafunzi wote wamefaulu kwa alama sawa, maana inatokea katika vyuo vyetu, iweje? au hiki ndo watu wanataka kusikia?
 
kijana piga shule, hii jf tuachie sisi. huo mda unaopoteza hapa jf kwa kueneza majungu badala ya kusoma mtaukumbuka mkirudi mtaani. sijaona point ya maana katika thread yako. kama unahisi shule haiendi karibu kwenye siasa, ntakutumia ratiba ya maandamano wiki hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…