Mhadhiri Shoo wa Chuo cha Diplomasia achemka kuhusu Uchaguzi Zanzibar

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,909
51,904
Muhadhiri wa Chuo cha Diplomasia Bw. Innocent Shoo akihojiwa na sauti ya Amerika jana usiku alichemka pale alipomtaka Raisi Magufuli aingilie kati mgogoro wa uchaguzi Zanzibar.

Kama Mhadhiri wa chuo cha Diplomasia alitakiwa asome Katiba ya Tanzana inavyosema kuhusu uwezo wa rais wa Muungano unaishia wapi.

Mambo ya uchaguzi wa Zanzibar si mambo ya Muungano hivyo Rais wa Muungano hawezi yaingilia kwani katiba haimuruhusu akiingilia anakuwa kavunja katiba

Pili ZEC ni tume huru.Na hakuna Rais awe wa Zanzibar au MUUNGANO MWENYE uwezo wa kuingilia tume ya Uchaguzi iwe NEC au ZEC kwa sheria za hizo tume za uchaguzi

Ninawashauri wataalam wetu wakiongea na vyombo vya habari vya kimataifa wawe makini na wawape taarifa sahihi na ndio maana wanawafuata wao kama wataalamu.
 
Kwa hiyo Jecha ana mamlaka isiyohojiwa popote when it comes to elections. Anaweza akajifutia ovyo chaguzi, akatengua anavyotaka, akajitangazia tarehe ya uchaguzi atakavyoona inafaa, n.k. Dah! Baada ya mamlaka ya Kimungu, nadhani hii sheria inafuatia kwa uweza.
 
Kwa hiyo Jecha ana mamlaka isiyohojiwa popote when it comes to elections. Anaweza akajifutia ovyo chaguzi, akatengua anavyotaka, akajitangazia tarehe ya uchaguzi atakavyoona inafaa, n.k. Dah! Baada ya mamlaka ya Kimungu, nadhani hii sheria inafuatia kwa uweza.

Jaji Lubuva kaelezea vizuri kuwa maamuzi ya ZEC hayawezi ingiliwa na Raisi wa MUUNGANO.Sheria ya ZEC ilipitishwa na baraza la wawakilishi na CUF wakiwemo.Kama haiwaridhishi ombeni ibadilishwe mara baada ya uchaguzi
 
Jaji Lubuva kaelezea vizuri kuwa maamuzi ya ZEC hayawezi ingiliwa na Raisi wa MUUNGANO.Sheria ya ZEC ilipitishwa na baraza la wawakilishi na CUF wakiwemo.Kama haiwaridhishi ombeni ibadilishwe mara baada ya uchaguzi


Kwa hiyo hata likitokea jambo hata la hatari kwa JMT kwa kuwa Jecha kaamua mkuu wa nchi hana mammlaka?!!?? Naamini inatafsiriwa ndivyo sivyo hata kama ni kweli wako free lakini NOT that Much!
 
Kwa hiyo hata likitokea jambo hata la hatari kwa JMT kwa kuwa Jecha kaamua mkuu wa nchi hana mammlaka?!!?? Naamini inatafsiriwa ndivyo sivyo hata kama ni kweli wako free lakini NOT that Much!

Kama linahusu mambo ya muungano tuliyokubaliana ataingilia kati.Kwa mfano kumetokea vurugu Zanzibar wanahitaji msaada wa majeshi za ulinzi ya muungano hapo ataingilia kati maana ulinzi ni eneo liko kwenye katiba kama jambo la muungano.Lakini kama kuna malalamiko ya mambo ya uchaguzi wa Zanzibar hayo ni yao waweza kuyamaliza kwenye mahakama zao nk maana hata bara kukiwa na malalamiko ya chaguzi hupelekwa mahakamani.Lakini kama wako wanavutana tu huko vyumbani kwao Zanzibar si wajibu wake kuingilia.Ni kama mtu na mume wakianza kutukanana chumbani kwao hakuna wa kuingilia ila wakianza kupigana na nondo na kuanza kukimbizana na mapanga hapo ndio wakati muafaka kwa jirani wa kuita FFU wawatwange virungu.Hapo anakuwa jirani hajaingilia mambo ya ndani ya mtu

Zanzibar hatujaona CUF kwenda mahakamani tunaona wanauza sura tu kwenye TV na vyombo vya habari
 
Kwa hiyo Jecha ana mamlaka isiyohojiwa popote when it comes to elections. Anaweza akajifutia ovyo chaguzi, akatengua anavyotaka, akajitangazia tarehe ya uchaguzi atakavyoona inafaa, n.k. Dah! Baada ya mamlaka ya Kimungu, nadhani hii sheria inafuatia kwa uweza.

Asante sana mkuu. Naona umeliza swali ambalo hasaa nilitaka kuuliza. Mbona aliyefuta uchaguzi hana mamlaka hayo na bado wamekubaliana naye? hawa CCM bwana, ni shida.
 
Kama linahusu mambo ya muungano tuliyokubaliana ataingilia kati.Kwa mfano kumetokea vurugu Zanzibar wanahitaji msaada wa majeshi za ulinzi ya muungano hapo ataingilia kati maana ulinzi ni eneo liko kwenye katiba kama jambo la muungano.Lakini kama kuna malalamiko ya mambo ya uchaguzi wa Zanzibar hayo ni yao waweza kuyamaliza kwenye mahakama zao nk maana hata bara kukiwa na malalamiko ya chaguzi hupelekwa mahakamani.Lakini kama wako wanavutana tu huko vyumbani kwao Zanzibar si wajibu wake kuingilia.Ni kama mtu na mume wakianza kutukanana chumbani kwao hakuna wa kuingilia ila wakianza kupigana na nondo na kuanza kukimbizana na mapanga hapo ndio wakati muafaka kwa jirani wa kuita FFU wawatwange virungu.Hapo anakuwa jirani hajaingilia mambo ya ndani ya mtu

Zanzibar hatujaona CUF kwenda mahakamani tunaona wanauza sura tu kwenye TV na vyombo vya habari
Zanzibar hakuna tume huru ya uchaguzi kuna tume ambayo ipo kuikinga ccm ibaki madarakani hata kana wananchi wa zanzibar hawaitaki
 
Katiba inatamka wazi, Tume za uchaguzi zip o huru, Rais hana uwezo wa kuingilia taratibu zao

Hakuna uhuru usio na mipaka; vivyo hivyo ZEC wana mipaka yao kisheria. Ni sheria ipi inaipa ZEC sembuse Jecha uwezo wa kufuta uchaguzi mzima tena pasi na mlalamikaji?
 
Zanzibar hakuna tume huru ya uchaguzi kuna tume ambayo ipo kuikinga ccm ibaki madarakani hata kana wananchi wa zanzibar hawaitaki

Sasa mbona mara kwa mara Rais wa Zanzibar alikuwa anakuja bara kumpatia maendeleo ya mazungumzo yanayoendelea juu ya mwafaka!
 
Muhadhiri wa Chuo cha Diplomasia Bw. Innocent Shoo akihojiwa na sauti ya Amerika jana usiku alichemka pale alipomtaka Raisi Magufuli aingilie kati mgogoro wa uchaguzi Zanzibar.

Kama Mhadhiri wa chuo cha Diplomasia alitakiwa asome Katiba ya Tanzana inavyosema kuhusu uwezo wa rais wa Muungano unaishia wapi.

Mambo ya uchaguzi wa Zanzibar si mambo ya Muungano hivyo Rais wa Muungano hawezi yaingilia kwani katiba haimuruhusu akiingilia anakuwa kavunja katiba

Pili ZEC ni tume huru.Na hakuna Rais awe wa Zanzibar au MUUNGANO MWENYE uwezo wa kuingilia tume ya Uchaguzi iwe NEC au ZEC kwa sheria za hizo tume za uchaguzi

Ninawashauri wataalam wetu wakiongea na vyombo vya habari vya kimataifa wawe makini na wawape taarifa sahihi na ndio maana wanawafuata wao kama wataalamu.


uwezo anao ila tu mkwere na nkapa wanamburuza, mbona amepeleka majeshi ya tanganyika kuikalia kimabavu
 
Sasa mbona mara kwa mara Rais wa Zanzibar alikuwa anakuja bara kumpatia maendeleo ya mazungumzo yanayoendelea juu ya mwafaka!

Hata SEIF shariff Hamad ,Fatuma Karume nk mara kwa mara walikuwa wakija tanzania bara kutueleza kinachoendelea kupitia vyombo vya habari kule pamoja na kuwa hatukuwaita waje watwambie!!! kwa sababu kama mimi si raia wala mpiga kura wa zanzibar kuja kunieleza ilikuwa ni kama kuniletea umbeya wao wa wanayofanya Zanzibar kwa sababu najua uchaguzi wa Zanzibar si jambo la muungano
 
uwezo anao ila tu mkwere na nkapa wanamburuza, mbona amepeleka majeshi ya tanganyika kuikalia kimabavu

Majeshi yaliyoko kule Zanzibar yako ni ya muungano yamepelekwa na katiba ya muungano sio na mkapa wala Kikwete.Yamekuwepo toka wakati wa Nyerere na Karume.Wamekufa nyerere na Karume yenyewe yapo na yataendelea kuwepo hadi hapo labda katiba itakapobadilishwa na kutamka kuwa JWTZ si jeshi la muungano.Lakini maadamu katiba hii ipo utayaona sana tena sana Zanzibar iwe mitaani,Majumbani,Ofizsi za ZEC,VITUO VYA UCHAGUZI,sehemu za kuhesabu kura na kutangaza nk Jukumu lao ni kulinda usalama.
 
Kwa hiyo hata likitokea jambo hata la hatari kwa JMT kwa kuwa Jecha kaamua mkuu wa nchi hana mammlaka?!!?? Naamini inatafsiriwa ndivyo sivyo hata kama ni kweli wako free lakini NOT that Much!

Uchaguzi wa Zanzibar sio jambo la Muungano, usalama ndio unahusu Muungano.

Marekebisho ya Katiba ya Zanzibar yaliyofanyika 2010 yalilenga kuipa Zanzibar mamlaka na kumfanya Rais wa Muungano kubaki 'invoices'. Kwa sasa hivi hata mambo yanayoamuliwa na Bunge la Muungano hayatatekelezwa mpaka yaridhiwe na Barala la Wawakili. Hivyo, uchaguzi ni matokeo ya kile CUF walichokita - Zanzibar yenye mamlaka kamili! Shikamoo Jecha!
 
Majeshi yaliyoko kule Zanzibar yako ni ya muungano yamepelekwa na katiba ya muungano sio na mkapa wala Kikwete.Yamekuwepo toka wakati wa Nyerere na Karume.Wamekufa nyerere na Karume yenyewe yapo na yataendelea kuwepo hadi hapo labda katiba itakapobadilishwa na kutamka kuwa JWTZ si jeshi la muungano.Lakini maadamu katiba hii ipo utayaona sana tena sana Zanzibar iwe mitaani,Majumbani,Ofizsi za ZEC,VITUO VYA UCHAGUZI,sehemu za kuhesabu kura na kutangaza nk Jukumu lao ni kulinda usalama.
Mbona magufuli amepigiwa kura kutoka zanzibar .je kama zanzibar isingepiga kura kwa magufuli angeitwa raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania au tanganyika?.ni suala la kuizini demokrasia tu ndio lilopo
 
Kama linahusu mambo ya muungano tuliyokubaliana ataingilia kati.Kwa mfano kumetokea vurugu Zanzibar wanahitaji msaada wa majeshi za ulinzi ya muungano hapo ataingilia kati maana ulinzi ni eneo liko kwenye katiba kama jambo la muungano.Lakini kama kuna malalamiko ya mambo ya uchaguzi wa Zanzibar hayo ni yao waweza kuyamaliza kwenye mahakama zao nk maana hata bara kukiwa na malalamiko ya chaguzi hupelekwa mahakamani.Lakini kama wako wanavutana tu huko vyumbani kwao Zanzibar si wajibu wake kuingilia.Ni kama mtu na mume wakianza kutukanana chumbani kwao hakuna wa kuingilia ila wakianza kupigana na nondo na kuanza kukimbizana na mapanga hapo ndio wakati muafaka kwa jirani wa kuita FFU wawatwange virungu.Hapo anakuwa jirani hajaingilia mambo ya ndani ya mtu

Zanzibar hatujaona CUF kwenda mahakamani tunaona wanauza sura tu kwenye TV na vyombo vya habari
Kwenda mahakamani ni kitu ambacho wasio machotara na wahizbu wanakisubiri ni mtego..
 
Jaji Lubuva kaelezea vizuri kuwa maamuzi ya ZEC hayawezi ingiliwa na Raisi wa MUUNGANO.Sheria ya ZEC ilipitishwa na baraza la wawakilishi na CUF wakiwemo.Kama haiwaridhishi ombeni ibadilishwe mara baada ya uchaguzi



Ni sawa tu na jinsi ZFA wanavyodai hawawezi kuingiliwa na TFF.
 
Muhadhiri wa Chuo cha Diplomasia Bw. Innocent Shoo akihojiwa na sauti ya Amerika jana usiku alichemka pale alipomtaka Raisi Magufuli aingilie kati mgogoro wa uchaguzi Zanzibar.

Kama Mhadhiri wa chuo cha Diplomasia alitakiwa asome Katiba ya Tanzana inavyosema kuhusu uwezo wa rais wa Muungano unaishia wapi.

Mambo ya uchaguzi wa Zanzibar si mambo ya Muungano hivyo Rais wa Muungano hawezi yaingilia kwani katiba haimuruhusu akiingilia anakuwa kavunja katiba

Pili ZEC ni tume huru.Na hakuna Rais awe wa Zanzibar au MUUNGANO MWENYE uwezo wa kuingilia tume ya Uchaguzi iwe NEC au ZEC kwa sheria za hizo tume za uchaguzi

Ninawashauri wataalam wetu wakiongea na vyombo vya habari vya kimataifa wawe makini na wawape taarifa sahihi na ndio maana wanawafuata wao kama wataalamu.
ILA Kupeleka Wawakilishi Wa SERIKALI Ktk. Nchi Za KIAFRIKA Kujaribu Kutatua Mikwamo Ya Chaguzi Zao!!! NDIO Wako KIKATIBA Na KISHERIA!!!?? KAMA Kwenda Burundi Ni Sawa Sawa, Ila Kwenda ZANZIBAR Ni Kuvunja KATIBA Ya NCHI!!! Kwani ZANZIBAR Sio NCHI!!!!???
 
Mbona magufuli amepigiwa kura kutoka zanzibar .je kama zanzibar isingepiga kura kwa magufuli angeitwa raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania au tanganyika?.ni suala la kuizini demokrasia tu ndio lilopo

Wazanzibari walimpigia kura Magufuli awe Raisi kwa mambo ya Zanzibar yanayohusu muungano tu sio yasiyohusu muungano.Kwa taarifa yako wako wazanzibari wapopiga kura tu ya Raisi wa Zanzibar hawakwenda chumba cha Kupiga kura kuchagua raisi wa muungano kwa sababu hawataki muungano.
 
Back
Top Bottom