Psychologically speaking, wanawake ni tofauti sana na sie wanaume. Mwanamke anatawaliwa na hisia na sie tunatawaliwa na vitendo. Mwanamke kabla ya kuolewa anakuwa ameshajijengea hisia fulani kama siku nikiolewa nitafanya hivi, ama nikiwa na mume wangu nitafanya hivi. Mwanamke ki wastani, anapenda kwa dhati na akikupenda hata pia unaweza sema ni kero but that's how they are. Sie mijibaba.....ngoja nikohoe kidogo.....ahha ahhhh ahhhh! baadhi yetu tunajuwa kupenda kama kina mama wapendavyo ila tukishapata tu kitumbua tunawaza kulala na marafiki za wake zetu, majirani, mama ntilie fulani, mashemeji zetu, yaani kwa kifupi tupo hovyo katika suala zima la mapenzi na ndiyo maana hata waislam wakahalalisha umalaya kwa mwanamme kuoa wake zaidi ya mmoja ili kuondoa lawama japo haisaidii chochote. So kwa kifupi, mwanamke (wenye roho nyepesi) anapoona malengo yake hayajatimia au la ananyanyaswa na yule ampendaye kwa maudhi ya kila siku bila kujirekebisha anajitoa roho. I love you ladies ila poleni for manyanyaso.