Hakuna ulevi mbaya kama ulevi wa madaraka(ya kisiasa),utakuta mtu alikuwa hajulikaniki,lakini baada ya kupata tu hayo madaraka kuacia inakuwa nongwa,angalia wabunge kelele kila siku za kutaka wabakie kuwa wabunge,akina Makweta,Ngombale,Mungai,Malechera.
Kama kuacha madaraka angeacha Dr Shein na Bilali lakini wapi ,wanataka wasikike wao na watoto wao,anagalia watoto wao akina Hussein Mwinyi,Ridhiwani,Vita Kawawa,Januari Makamba.
Zamani nilikuwa nawacheka Wakenya ambao watoto wao walikuwa wanarithi ubunge kutoka kwa baba zao utafikiri watoto wa kichifu lakini
sasa ndio tunayaona Tanzania.Wengi wao hawana uwezo mbali ya kuwatumia wazazi wao walio kwenye madaraka.
AHERI YA ULEVI WA GONGO KULIKO ULEVI WA MADARAKA