Naomba kuliza<br />
<br />
Waziri wa nishati na madini Mh. W ngeleja yuko wapi? Awezekujibu swali hili?<br />
<br />
Je mafuta tatizo ni formula tu au kuna jingine?<br />
<br />
Kama ni formula? Kilichopunguzwa ni kodi na tozo za serikali kuondolewa ni kwa nini wafanyabiashara wa mafuta walie hasara wakati anayepungukiwa ni serikali?<br />
<br />
Je ni kweli kwamba faida ya biashara ya mafuta ilikuwa inatokana na uchakachuaji? Baada ya kodi ya mafuta ya taa kupandishwa na uchakachuaji kufa auto death ndio wafanyabiashara wamerudi kwenye formula na kuona hailipi?<br />
<br />
Je bajeti yako ya 13/08 itapita?<br />
<br />
Ni hayo tu kwa leo nawakil ninavyojua ni kwamba huyu mtu-ngeleja aliuziwa mbuzi guniani. Hakujua kuwa mbuzi-tanesco ni kichomi. Alijua tu kufurahia madaraka bt hakuangalia mbele.
Naomba kuliza<br />
<br />
Waziri wa nishati na madini Mh. W ngeleja yuko wapi? Awezekujibu swali hili?<br />
<br />
Je mafuta tatizo ni formula tu au kuna jingine?<br />
<br />
Kama ni formula? Kilichopunguzwa ni kodi na tozo za serikali kuondolewa ni kwa nini wafanyabiashara wa mafuta walie hasara wakati anayepungukiwa ni serikali?<br />
<br />
Je ni kweli kwamba faida ya biashara ya mafuta ilikuwa inatokana na uchakachuaji? Baada ya kodi ya mafuta ya taa kupandishwa na uchakachuaji kufa auto death ndio wafanyabiashara wamerudi kwenye formula na kuona hailipi?<br />
<br />
Je bajeti yako ya 13/08 itapita?<br />
<br />
Ni hayo tu kwa leo nawakil ninavyojua ni kwamba huyu mtu-ngeleja aliuziwa mbuzi guniani. Hakujua kuwa mbuzi-tanesco ni kichomi. Alijua tu kufurahia madaraka bt hakuangalia mbele.
Naomba kuliza<br />
<br />
Waziri wa nishati na madini Mh. W ngeleja yuko wapi? Awezekujibu swali hili?<br />
<br />
Je mafuta tatizo ni formula tu au kuna jingine?<br />
<br />
Kama ni formula? Kilichopunguzwa ni kodi na tozo za serikali kuondolewa ni kwa nini wafanyabiashara wa mafuta walie hasara wakati anayepungukiwa ni serikali?<br />
<br />
Je ni kweli kwamba faida ya biashara ya mafuta ilikuwa inatokana na uchakachuaji? Baada ya kodi ya mafuta ya taa kupandishwa na uchakachuaji kufa auto death ndio wafanyabiashara wamerudi kwenye formula na kuona hailipi?<br />
<br />
Je bajeti yako ya 13/08 itapita?<br />
<br />
Ni hayo tu kwa leo nawakil ninavyojua ni kwamba huyu mtu-ngeleja aliuziwa mbuzi guniani. Hakujua kuwa mbuzi-tanesco ni kichomi. Alijua tu kufurahia madaraka bt hakuangalia mbele.
<br />Naomba kuliza<br />
<br />
Waziri wa nishati na madini Mh. W ngeleja yuko wapi? Awezekujibu swali hili?<br />
<br />
Je mafuta tatizo ni formula tu au kuna jingine?<br />
<br />
Kama ni formula? Kilichopunguzwa ni kodi na tozo za serikali kuondolewa ni kwa nini wafanyabiashara wa mafuta walie hasara wakati anayepungukiwa ni serikali?<br />
<br />
Je ni kweli kwamba faida ya biashara ya mafuta ilikuwa inatokana na uchakachuaji? Baada ya kodi ya mafuta ya taa kupandishwa na uchakachuaji kufa auto death ndio wafanyabiashara wamerudi kwenye formula na kuona hailipi?<br />
<br />
Je bajeti yako ya 13/08 itapita?<br />
<br />
Ni hayo tu kwa leo nawakilisha
Mungu atamrehemu maana Ngeleja inaonekana hawezi kufanya lolote, me namruhusu awe anapoteza mawazo pale 84 club itamsaidia.Naomba kuliza<br />
<br />
Waziri wa nishati na madini Mh. W ngeleja yuko wapi? Awezekujibu swali hili?<br />
<br />
Je mafuta tatizo ni formula tu au kuna jingine?<br />
<br />
Kama ni formula? Kilichopunguzwa ni kodi na tozo za serikali kuondolewa ni kwa nini wafanyabiashara wa mafuta walie hasara wakati anayepungukiwa ni serikali?<br />
<br />
Je ni kweli kwamba faida ya biashara ya mafuta ilikuwa inatokana na uchakachuaji? Baada ya kodi ya mafuta ya taa kupandishwa na uchakachuaji kufa auto death ndio wafanyabiashara wamerudi kwenye formula na kuona hailipi?<br />
<br />
Je bajeti yako ya 13/08 itapita?<br />
<br />
Ni hayo tu kwa leo nawakil ninavyojua ni kwamba huyu mtu-ngeleja aliuziwa mbuzi guniani. Hakujua kuwa mbuzi-tanesco ni kichomi. Alijua tu kufurahia madaraka bt hakuangalia mbele.
Naomba kuliza
Waziri wa nishati na madini Mh. W ngeleja yuko wapi? Awezekujibu swali hili?
Je mafuta tatizo ni formula tu au kuna jingine?
Kama ni formula? Kilichopunguzwa ni kodi na tozo za serikali kuondolewa ni kwa nini wafanyabiashara wa mafuta walie hasara wakati anayepungukiwa ni serikali?
Je ni kweli kwamba faida ya biashara ya mafuta ilikuwa inatokana na uchakachuaji? Baada ya kodi ya mafuta ya taa kupandishwa na uchakachuaji kufa auto death ndio wafanyabiashara wamerudi kwenye formula na kuona hailipi?
Je bajeti yako ya 13/08 itapita?
Ni hayo tu kwa leo nawakilisha