Mh. Lucy Mayenga amzodoa Kikwete Bungeni

Tuko

JF-Expert Member
Jul 29, 2010
11,178
7,320
Leo nimegundua kumbe nilikuwa siwaelewi baadhi ya wabunge wa ccm wanaomsifia Kikwete. Kabla sijenda kwenye topic, nimjibu mh Mayenga aliyewatuhumu wakala wa mbegu tz kuwa hawajawahi kukaa kikao hata ki1 na jkt pa1 na kuagizwa. Dada yangu hawajakaa kwa sababu hawajapewa sitting allowances.
Sasa nije kwenye topic. Dada Mayenga kaanza kwa kumpamba Kikwete kuwa ni mpole, mwema, mvumilivu, hana kinyongo wala kisasi. Akasema kuna waziri alishawahi kumuambia kuwa angepewa kukaimu urais kwa wk 2 tu, rais akirud atakuta amemweka ndani kila mtu. Mh Mayenga akaendelea kuchangia na akafika mahali akawa anawatuhumu watendaji wa serikali wabadhirifu na wasiofanya kazi. Ndipo akasema, UNAPOKUWA NA WATENDAJI WASIOWAJIBIKA NA WABADHIRIFU KAMA TULIO NAO SASA, KWA KWELI HUWEZI KUVUMILIA USIWAWEKE NDANI, KAMA ALIVYOSEMA YULE WAZIRI.
Kufikia hapo nikagundua kumbe zile sifa za upole alizoanza kumpa Kikwete ni sawa na kusema analea wabadhirifu na wazembe.
 
Jk alifaa kuwa mhubiri wa dini na si rais. Anaongea kwa kuwasihi wahalifu watubu dhambi na kujirudi badala ya kuwashughulikia kisheria.
 
Leo nimegundua kumbe nilikuwa siwaelewi baadhi ya wabunge wa ccm wanaomsifia Kikwete. Kabla sijenda kwenye topic, nimjibu mh Mayenga aliyewatuhumu wakala wa mbegu tz kuwa hawajawahi kukaa kikao hata ki1 na jkt pa1 na kuagizwa. Dada yangu hawajakaa kwa sababu hawajapewa sitting allowances. Sasa nije kwenye topic. Dada Mayenga kaanza kwa kumpamba Kikwete kuwa ni mpole, mwema, mvumilivu, hana kinyongo wala kisasi. Akasema kuna waziri alishawahi kumuambia kuwa angepewa kukaimu urais kwa wk 2 tu, rais akirud atakuta amemweka ndani kila mtu. Mh Mayenga akaendelea kuchangia na akafika mahali akawa anawatuhumu watendaji wa serikali wabadhirifu na wasiofanya kazi. Ndipo akasema, UNAPOKUWA NA WATENDAJI WASIOWAJIBIKA NA WABADHIRIFU, KWELI HUWEZI KUVUMILIA USIWAWEKE NDANI, KAMA ALIVYOSEMA YULE WAZIRI. Kufikia hapo nikagundua kumbe zile sifa za upole alizoanza kumpa Kikwete ni sawa na kusema analea wabadhirifu na wazembe.

kuna wakati ni ngumu sana kutofauti kati ya upole na ujinga, maana wajinga wengi ni wapole na wasikivu kutokana na udhaifu huo.
kuhusu jk ni wazi sio mpole kuna kitu anapungukiwa ndio maana anaonekana ni mpole
 
kuna wakati ni ngumu sana kutofautisha kati ya upole na ujinga, maana wajinga wengi ni wapole na wasikivu kutokana na udhaifu huo.
kuhusu jk ni wazi sio mpole kuna kitu anapungukiwa ndio maana anaonekana ni mpole

Umemuua Mk.were
 
kuna wakati ni ngumu sana kutofauti kati ya upole na ujinga, maana wajinga wengi ni wapole na wasikivu kutokana na udhaifu huo.
kuhusu jk ni wazi sio mpole kuna kitu anapungukiwa ndio maana anaonekana ni mpole

Ni kweli kabisa mkuu...
 
hata ukimwangalia tu utajua ana tatizo kubwa alikuwa kiongozi wa wakati wote huo nashindwa kuelewa
jamaa yuko LOW SANA
 
Back
Top Bottom