Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,320
Leo nimegundua kumbe nilikuwa siwaelewi baadhi ya wabunge wa ccm wanaomsifia Kikwete. Kabla sijenda kwenye topic, nimjibu mh Mayenga aliyewatuhumu wakala wa mbegu tz kuwa hawajawahi kukaa kikao hata ki1 na jkt pa1 na kuagizwa. Dada yangu hawajakaa kwa sababu hawajapewa sitting allowances.
Sasa nije kwenye topic. Dada Mayenga kaanza kwa kumpamba Kikwete kuwa ni mpole, mwema, mvumilivu, hana kinyongo wala kisasi. Akasema kuna waziri alishawahi kumuambia kuwa angepewa kukaimu urais kwa wk 2 tu, rais akirud atakuta amemweka ndani kila mtu. Mh Mayenga akaendelea kuchangia na akafika mahali akawa anawatuhumu watendaji wa serikali wabadhirifu na wasiofanya kazi. Ndipo akasema, UNAPOKUWA NA WATENDAJI WASIOWAJIBIKA NA WABADHIRIFU KAMA TULIO NAO SASA, KWA KWELI HUWEZI KUVUMILIA USIWAWEKE NDANI, KAMA ALIVYOSEMA YULE WAZIRI.
Kufikia hapo nikagundua kumbe zile sifa za upole alizoanza kumpa Kikwete ni sawa na kusema analea wabadhirifu na wazembe.
Sasa nije kwenye topic. Dada Mayenga kaanza kwa kumpamba Kikwete kuwa ni mpole, mwema, mvumilivu, hana kinyongo wala kisasi. Akasema kuna waziri alishawahi kumuambia kuwa angepewa kukaimu urais kwa wk 2 tu, rais akirud atakuta amemweka ndani kila mtu. Mh Mayenga akaendelea kuchangia na akafika mahali akawa anawatuhumu watendaji wa serikali wabadhirifu na wasiofanya kazi. Ndipo akasema, UNAPOKUWA NA WATENDAJI WASIOWAJIBIKA NA WABADHIRIFU KAMA TULIO NAO SASA, KWA KWELI HUWEZI KUVUMILIA USIWAWEKE NDANI, KAMA ALIVYOSEMA YULE WAZIRI.
Kufikia hapo nikagundua kumbe zile sifa za upole alizoanza kumpa Kikwete ni sawa na kusema analea wabadhirifu na wazembe.