Inasikitisha na kushangaza..tumekua na mihemko ya kisisa na ushabiki usiokua na tija..hamna mtu anakaa chini tena anasoma vitu kwa undani , hamna mtu anakaa tena anatafakari mambo kwa undani, ni kukurupuka tu.. Na wale watu wenye uwezo mdogo kwenye mambo ndo wapo mbele..unadhani tutafika kweli..!