mh iddi Azan ajibu shutuma

mh iddi Azan ajibu shutuma

thesym

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2012
Posts
3,864
Reaction score
4,847
[h=5]millard ayo
[/h][h=5]‪#‎ISHU‬ Mbunge Idd Azan kuhusu tuhuma za kuuza dawa za kulevya: 'Sijawahi fanya hiyo biashara, watu walianzia kuhoji kisa naendesha magari mazuri, ikigundulika ni kweli basi nichukuliwe hatua.. maneno haya yalianza kabla ya uchaguzi wa 2010, kuna watu ambao kisiasa wananiogopa'

unaweza kushea hii post na wenzako waliosikia hizo habari wajue kilichosemwa upande wa pili mtu wangu.[/h]source.
https://www.facebook.com/photo.php?...set=a.416435953791.214022.211320898791&type=1
 
Kwa mtu mwenye akili timamu hawezi sikiliza maneno hawezi kuelewa kwanini hajibu kwa style hiyo halafu mtoa hoja tafuta source nyingine sio hao Clouds
 
millard ayo


‪#‎ISHU‬ Mbunge Idd Azan kuhusu tuhuma za kuuza dawa za kulevya: 'Sijawahi fanya hiyo biashara, watu walianzia kuhoji kisa naendesha magari mazuri, ikigundulika ni kweli basi nichukuliwe hatua.. maneno haya yalianza kabla ya uchaguzi wa 2010, kuna watu ambao kisiasa wananiogopa'

unaweza kushea hii post na wenzako waliosikia hizo habari wajue kilichosemwa upande wa pili mtu wangu.


source.
https://www.facebook.com/photo.php?...set=a.416435953791.214022.211320898791&type=1


Majibu yake tu yanaonesha ndo biahsra yake!
 
Anyway! Hatueleze ayo magari mazuri anayatoa wapi au ana biashara gani zaidi inayomfanaya aendeshe magari mazuri ili watu wasikuonee gere? Na mbona magari mazuri wanaendesha wengi sana na kwanini utajwe wewe?
 
[h=5]millard ayo
[/h][h=5]‪#‎ISHU‬ Mbunge Idd Azan kuhusu tuhuma za kuuza dawa za kulevya: 'Sijawahi fanya hiyo biashara, watu walianzia kuhoji kisa naendesha magari mazuri, ikigundulika ni kweli basi nichukuliwe hatua.. maneno haya yalianza kabla ya uchaguzi wa 2010, kuna watu ambao kisiasa wananiogopa'

unaweza kushea hii post na wenzako waliosikia hizo habari wajue kilichosemwa upande wa pili mtu wangu.[/h]source.
https://www.facebook.com/photo.php?...set=a.416435953791.214022.211320898791&type=1

HayA ila lisemwalo.....?
 
Kama kuendesha magari mazuri na kusingiziwa unga mbona hawamsemi Richard Mziray?
 
huyu kijana aliyeandika hii barua sijui tumueleweje, cha muhimu tukumbuke kuwa yuko jela na wale wengine aliowataja pamoja na mheshimiwa sijasikia wakijibu mapigo. Labda kama kuna mtu kawasikia nao atujuze lakini hili suala sio dogo kiasi cha kutolewa majibu kwenye facebook kwa swaga za 'mtu wangu'.
 
Madawa yanatumiwa kama ndio mtaji wa kuonyesha tofauti mpaka kwenye siasa
 
Tuhuma endelevu kwa Mh!? Iddi Azan zinatosha kumwajibisha mtu mwenye soni na mwadilifu. Hilo si la utamaduni tuliolelewa na CCM.
 
Back
Top Bottom