Kwa mara yoyote utapomsikia Mbunge wa Mbozi Magharibi Mh. Silinde, huwezi kuacha kusikia facts. Bcom degree yake ni ya kipaji kikubwa. Je nani anapinga? Ni kwa sababu tu hatuangalii ubora wa kiongozi. Akiongea mheshimiwa Silinde wabunge wenzake husikia nondo zake na kutabasamu tu.