Kwa mara yoyote utapomsikia Mbunge wa Mbozi Magharibi Mh. Silinde, huwezi kuacha kusikia facts. Bcom degree yake ni ya kipaji kikubwa. Je nani anapinga? Ni kwa sababu tu hatuangalii ubora wa kiongozi. Akiongea mheshimiwa Silinde wabunge wenzake husikia nondo zake na kutabasamu tu.
Kwa mara yoyote utapomsikia Mbunge wa Mbozi Magharibi Mh. Silinde, huwezi kuacha kusikia facts. Bcom degree yake ni ya kipaji kikubwa. Je nani anapinga? Ni kwa sababu tu hatuangalii ubora wa kiongozi. Akiongea mheshimiwa Silinde wabunge wenzake husikia nondo zake na kutabasamu tu.
Mimi Nampata huyo Silinde nimemjua kupitia Bunge.... Hutoacha kumpenda yeye au jamaa wengine pale mjengoni akiwemo Mkosamali, Sugu na Lema.
Kwa mara yoyote utapomsikia Mbunge wa Mbozi Magharibi Mh. Silinde, huwezi kuacha kusikia facts. Bcom degree yake ni ya kipaji kikubwa. Je nani anapinga? Ni kwa sababu tu hatuangalii ubora wa kiongozi. Akiongea mheshimiwa Silinde wabunge wenzake husikia nondo zake na kutabasamu tu.