Mh. Cheyo apatiwe ubunge wa kuteuliwa

Mh. Cheyo apatiwe ubunge wa kuteuliwa

mwembemdogo

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2016
Posts
2,282
Reaction score
1,253
Nachukua nafasi hii kuziomba mamlaka zinazohusika zimfikirie Mh. Mimosa Cheyo nafasi ya ubunge wa kuteuliwa kwani amekuwa na mchango mkubwa. Moja ya michango yake ni ule wa kuuponda upinzani wakati na yeye anaongoza chama cha upinzani.
 
Cheyo kaahidiwa uenyekiti wa bodi ya pamba...anytime atatangazwa..mark my word
 
Ni tatizo la kuwa na wanasiasa uchwara ambao siku zote wanawaza kusifia chama tawala ili wapate fursa za nafas za kuteuliwa.
 
Nachukua nafasi hii kuziomba mamlaka zinazohusika zimfikirie Mh.Mimosa Cheyo nafasi ya Ubunge wa kuteuliwa kwani amekuwa Na mchango Mkubwa .Moja ya michango yake ni ule wa kuuponda upinzani wakati Na yeye anaongoza chama cha Upinzani.
Jitahid kumpromote ila kumbuka kua siasa n mchezo mchafu.
Ili ucheze huo mchezo ukubal kuchafuka.
 
Mr
Nachukua nafasi hii kuziomba mamlaka zinazohusika zimfikirie Mh.Mimosa Cheyo nafasi ya Ubunge wa kuteuliwa kwani amekuwa Na mchango Mkubwa .Moja ya michango yake ni ule wa kuuponda upinzani wakati Na yeye anaongoza chama cha Upinzani.[/QUOTE

Hawa jamaa ndiyo wagombea wa Uraisi wa kwanza kwa mfumo wa vyama vingi. Naona bado wanapambana:

Mrema kapambana mpaka kapewa kawa mwenyekiti mtendaji wa Parole
Lipumba anapambana kujirudishia uenyekiti wake wa kudumu CUF
Cheyo inabidi nawe ujiongeze upewe hata ka- ubunge ka kuteuliwa Mwanawane
 
Back
Top Bottom