Mgonjwa huyu jamani msaidieni..

Tayukwa

JF-Expert Member
Dec 11, 2014
2,144
4,298
Salaam waungwana
Jamani mwenzenu nasumbuliwa na maumivu makali mwilini
Jana nilienda hospital kupima Malaria na Typhod lakini vyote hivyo sikuwa nasumbuliwa navyo lakini bado mwili waniuma vibaya mno.
Mimi huwa na kawaida ya kuchangia damu kila baada ya miezi mitatu, lakini kwa mara ya mwisho nilichangia siku ya juma tano ya tarehe 5 mwezi wa 4 mwaka huu baada ya kupita miezi mitano mara baada ya kutoa damu kabla ya hiyo siku ya j4.
Sasa tatizo lipo hapa nilifika Temeke hospital kwa ajili ya zoezi hilo, bahati mbaya au nzuri mimi ndio nilikuwa mtu wa mwisho kuhudumiwa hapo lakini haikuwa kama kawaida ya nilivyozoea kuwa baada ya kuhojiwa kuhusu historia ya uchangiaji wangu na kama nina tatizo lolote la kiafya.
Baada ya hapo nilizoea kupata vipimo vya wingi wa damu na uzito wangu lakini hayo yote hayakufanyika, yaani baada ya kuhojiwa tu niliambiwa nilale kwenye kile kiti kwa ajili ya kutolewa damu.
Nilitolewa damu na nikaambiwa nirejee baada ya mwezi mmoja nikiwa na kikadi changu ili kupata taarifa zaidi.
Lakini baada ya kumaliza zoezi lile siku ya pili yake mwili umeanza kuniuma sana, joto jingi na viungo vya mwili havina nguvu na pia baadhi ya wakati huwa najihisi kizunguzungu.
JE TATIZO LA UGONJWA WANGU LINATOKANA NA UTOAJI WA DAMU?
NINI NIFANYE KUWEZA KUEPUKANA NA MAUMIVU HAYA?
NA KAMA NIMETOA DAMU WAKATI NILIYOKUWA NAYO HAITOSHELEZI NINI NIFANYE?
NINI MADHARA YAKE KWA HAYA NILIYOYAFANYA
NI SAHIHI KWA MADOCTOR WALIONAMBIA NITOE DAMU BILA KUPIMA KIASI CHA DAMU YANGU IKIWA MWENYEWE NILIGHAFIRIKA?
NAOMBENI MSAADA WENU NAUMWA SANA HAPA NILIPO.
 
Salaam waungwana
Jamani mwenzenu nasumbuliwa na maumivu makali mwilini
Jana nilienda hospital kupima Malaria na Typhod lakini vyote hivyo sikuwa nasumbuliwa navyo lakini bado mwili waniuma vibaya mno.
Mimi huwa na kawaida ya kuchangia damu kila baada ya miezi mitatu, lakini kwa mara ya mwisho nilichangia siku ya juma tano ya tarehe 5 mwezi wa 4 mwaka huu baada ya kupita miezi mitano mara baada ya kutoa damu kabla ya hiyo siku ya j4.
Sasa tatizo lipo hapa nilifika Temeke hospital kwa ajili ya zoezi hilo, bahati mbaya au nzuri mimi ndio nilikuwa mtu wa mwisho kuhudumiwa hapo lakini haikuwa kama kawaida ya nilivyozoea kuwa baada ya kuhojiwa kuhusu historia ya uchangiaji wangu na kama nina tatizo lolote la kiafya.
Baada ya hapo nilizoea kupata vipimo vya wingi wa damu na uzito wangu lakini hayo yote hayakufanyika, yaani baada ya kuhojiwa tu niliambiwa nilale kwenye kile kiti kwa ajili ya kutolewa damu.
Nilitolewa damu na nikaambiwa nirejee baada ya mwezi mmoja nikiwa na kikadi changu ili kupata taarifa zaidi.
Lakini baada ya kumaliza zoezi lile siku ya pili yake mwili umeanza kuniuma sana, joto jingi na viungo vya mwili havina nguvu na pia baadhi ya wakati huwa najihisi kizunguzungu.
JE TATIZO LA UGONJWA WANGU LINATOKANA NA UTOAJI WA DAMU?
NINI NIFANYE KUWEZA KUEPUKANA NA MAUMIVU HAYA?
NA KAMA NIMETOA DAMU WAKATI NILIYOKUWA NAYO HAITOSHELEZI NINI NIFANYE?
NINI MADHARA YAKE KWA HAYA NILIYOYAFANYA
NI SAHIHI KWA MADOCTOR WALIONAMBIA NITOE DAMU BILA KUPIMA KIASI CHA DAMU YANGU IKIWA MWENYEWE NILIGHAFIRIKA?
NAOMBENI MSAADA WENU NAUMWA SANA HAPA NILIPO.
NENDA HOSPITALI HARAKA NA KIKADI
 
Salaam waungwana
Jamani mwenzenu nasumbuliwa na maumivu makali mwilini
Jana nilienda hospital kupima Malaria na Typhod lakini vyote hivyo sikuwa nasumbuliwa navyo lakini bado mwili waniuma vibaya mno.
Mimi huwa na kawaida ya kuchangia damu kila baada ya miezi mitatu, lakini kwa mara ya mwisho nilichangia siku ya juma tano ya tarehe 5 mwezi wa 4 mwaka huu baada ya kupita miezi mitano mara baada ya kutoa damu kabla ya hiyo siku ya j4.
Sasa tatizo lipo hapa nilifika Temeke hospital kwa ajili ya zoezi hilo, bahati mbaya au nzuri mimi ndio nilikuwa mtu wa mwisho kuhudumiwa hapo lakini haikuwa kama kawaida ya nilivyozoea kuwa baada ya kuhojiwa kuhusu historia ya uchangiaji wangu na kama nina tatizo lolote la kiafya.
Baada ya hapo nilizoea kupata vipimo vya wingi wa damu na uzito wangu lakini hayo yote hayakufanyika, yaani baada ya kuhojiwa tu niliambiwa nilale kwenye kile kiti kwa ajili ya kutolewa damu.
Nilitolewa damu na nikaambiwa nirejee baada ya mwezi mmoja nikiwa na kikadi changu ili kupata taarifa zaidi.
Lakini baada ya kumaliza zoezi lile siku ya pili yake mwili umeanza kuniuma sana, joto jingi na viungo vya mwili havina nguvu na pia baadhi ya wakati huwa najihisi kizunguzungu.
JE TATIZO LA UGONJWA WANGU LINATOKANA NA UTOAJI WA DAMU?
NINI NIFANYE KUWEZA KUEPUKANA NA MAUMIVU HAYA?
NA KAMA NIMETOA DAMU WAKATI NILIYOKUWA NAYO HAITOSHELEZI NINI NIFANYE?
NINI MADHARA YAKE KWA HAYA NILIYOYAFANYA
NI SAHIHI KWA MADOCTOR WALIONAMBIA NITOE DAMU BILA KUPIMA KIASI CHA DAMU YANGU IKIWA MWENYEWE NILIGHAFIRIKA?
NAOMBENI MSAADA WENU NAUMWA SANA HAPA NILIPO.
UPUNGUFU WA DAMU, ONGEZA KIWANGO CHA UNYWAJI MAJI PIA NENDA HOSPITALI ULIPOTOA DAMU UWE WAZI KWAO
 
UPUNGUFU WA DAMU, ONGEZA KIWANGO CHA UNYWAJI MAJI PIA NENDA HOSPITALI ULIPOTOA DAMU UWE WAZI KWAO
Nashukuru nilienda hospital lakini wamenambia damu yangu ipo kawaida tu haijapungua kwa kusababisha tatizo lolote, nimechomwa sindano na nimepewa ant biotic lakini bado kichwa kinaniuma. Nilipima full blood pressure
 
Ushauri ninaokupa ni kwenda hospital haraka sana!
Nashukuru nilienda hospital lakini wamenambia damu yangu ipo kawaida tu haijapungua kwa kusababisha tatizo lolote, nimechomwa sindano na nimepewa ant biotic lakini bado kichwa kinaniuma. Nilipima full blood pressure
 
Salaam waungwana
Jamani mwenzenu nasumbuliwa na maumivu makali mwilini
Jana nilienda hospital kupima Malaria na Typhod lakini vyote hivyo sikuwa nasumbuliwa navyo lakini bado mwili waniuma vibaya mno.
Mimi huwa na kawaida ya kuchangia damu kila baada ya miezi mitatu, lakini kwa mara ya mwisho nilichangia siku ya juma tano ya tarehe 5 mwezi wa 4 mwaka huu baada ya kupita miezi mitano mara baada ya kutoa damu kabla ya hiyo siku ya j4.
Sasa tatizo lipo hapa nilifika Temeke hospital kwa ajili ya zoezi hilo, bahati mbaya au nzuri mimi ndio nilikuwa mtu wa mwisho kuhudumiwa hapo lakini haikuwa kama kawaida ya nilivyozoea kuwa baada ya kuhojiwa kuhusu historia ya uchangiaji wangu na kama nina tatizo lolote la kiafya.
Baada ya hapo nilizoea kupata vipimo vya wingi wa damu na uzito wangu lakini hayo yote hayakufanyika, yaani baada ya kuhojiwa tu niliambiwa nilale kwenye kile kiti kwa ajili ya kutolewa damu.
Nilitolewa damu na nikaambiwa nirejee baada ya mwezi mmoja nikiwa na kikadi changu ili kupata taarifa zaidi.
Lakini baada ya kumaliza zoezi lile siku ya pili yake mwili umeanza kuniuma sana, joto jingi na viungo vya mwili havina nguvu na pia baadhi ya wakati huwa najihisi kizunguzungu.
JE TATIZO LA UGONJWA WANGU LINATOKANA NA UTOAJI WA DAMU?
NINI NIFANYE KUWEZA KUEPUKANA NA MAUMIVU HAYA?
NA KAMA NIMETOA DAMU WAKATI NILIYOKUWA NAYO HAITOSHELEZI NINI NIFANYE?
NINI MADHARA YAKE KWA HAYA NILIYOYAFANYA
NI SAHIHI KWA MADOCTOR WALIONAMBIA NITOE DAMU BILA KUPIMA KIASI CHA DAMU YANGU IKIWA MWENYEWE NILIGHAFIRIKA?
NAOMBENI MSAADA WENU NAUMWA SANA HAPA NILIPO.
Pole xaana rafiki ,inawezekana kuna infection ,inawezekana wakat wanakutoa dam hawakuzingatia protol za utoaj damu ,xx may una nosocomial infection
 
Salaam waungwana
Jamani mwenzenu nasumbuliwa na maumivu makali mwilini
Jana nilienda hospital kupima Malaria na Typhod lakini vyote hivyo sikuwa nasumbuliwa navyo lakini bado mwili waniuma vibaya mno.
Mimi huwa na kawaida ya kuchangia damu kila baada ya miezi mitatu, lakini kwa mara ya mwisho nilichangia siku ya juma tano ya tarehe 5 mwezi wa 4 mwaka huu baada ya kupita miezi mitano mara baada ya kutoa damu kabla ya hiyo siku ya j4.
Sasa tatizo lipo hapa nilifika Temeke hospital kwa ajili ya zoezi hilo, bahati mbaya au nzuri mimi ndio nilikuwa mtu wa mwisho kuhudumiwa hapo lakini haikuwa kama kawaida ya nilivyozoea kuwa baada ya kuhojiwa kuhusu historia ya uchangiaji wangu na kama nina tatizo lolote la kiafya.
Baada ya hapo nilizoea kupata vipimo vya wingi wa damu na uzito wangu lakini hayo yote hayakufanyika, yaani baada ya kuhojiwa tu niliambiwa nilale kwenye kile kiti kwa ajili ya kutolewa damu.
Nilitolewa damu na nikaambiwa nirejee baada ya mwezi mmoja nikiwa na kikadi changu ili kupata taarifa zaidi.
Lakini baada ya kumaliza zoezi lile siku ya pili yake mwili umeanza kuniuma sana, joto jingi na viungo vya mwili havina nguvu na pia baadhi ya wakati huwa najihisi kizunguzungu.
JE TATIZO LA UGONJWA WANGU LINATOKANA NA UTOAJI WA DAMU?
NINI NIFANYE KUWEZA KUEPUKANA NA MAUMIVU HAYA?
NA KAMA NIMETOA DAMU WAKATI NILIYOKUWA NAYO HAITOSHELEZI NINI NIFANYE?
NINI MADHARA YAKE KWA HAYA NILIYOYAFANYA
NI SAHIHI KWA MADOCTOR WALIONAMBIA NITOE DAMU BILA KUPIMA KIASI CHA DAMU YANGU IKIWA MWENYEWE NILIGHAFIRIKA?
NAOMBENI MSAADA WENU NAUMWA SANA HAPA NILIPO.

Tatizo lako hilo kwa nchi za Ulaya sidhani hata kama ungeweza kuanzisha uzi humu na pengine hata sasa hivi ungekuwa ICU ila kwa Wewe nadhani Mwenyezi Mungu bado anakupenda hivyo kwa bahati hiyo hiyo na upendeleo huo huo kutoka Kwake Maulana basi sisi Jumuia ya Wana JF tunakuomba uwahi kwenda Hospitali ili ukatibiwe na tuzidi kuwa na Wewe humu na hatutaki kukupoteza. Halafu katika maelezo yako hapo unaonekana ni mbishi na mwoga sana wa Tiba hivyo nikuombe tu kuwa Wasikilize Madaktari na acha kuwafundisha Kazi tafadhali. Ugua pole Mkuu!
 
Pole xaana rafiki ,inawezekana kuna infection ,inawezekana wakat wanakutoa dam hawakuzingatia protol za utoaj damu ,xx may una nosocomial infection
Ahsante mkuu ni kweli wamenambia kuna infection ktk damu hivyo nimepewa dawa kwa tatizo hilo na nimechomwa sindano kwa ajili ya kutuliza maumivu
Nasukuru sana kwa mawazo yako
 
Tatizo lako hilo kwa nchi za Ulaya sidhani hata kama ungeweza kuanzisha uzi humu na pengine hata sasa hivi ungekuwa ICU ila kwa Wewe nadhani Mwenyezi Mungu bado anakupenda hivyo kwa bahati hiyo hiyo na upendeleo huo huo kutoka Kwake Maulana basi sisi Jumuia ya Wana JF tunakuomba uwahi kwenda Hospitali ili ukatibiwe na tuzidi kuwa na Wewe humu na hatutaki kukupoteza. Halafu katika maelezo yako hapo unaonekana ni mbishi na mwoga sana wa Tiba hivyo nikuombe tu kuwa Wasikilize Madaktari na acha kuwafundisha Kazi tafadhali. Ugua pole Mkuu!
Ahsante mkuu nashukuru kwa ushauri wako, lakini tayari nimeenda hospital na nimeambiwa damu ipo kawaida tu
 
Ahsante mkuu nashukuru kwa ushauri wako, lakini tayari nimeenda hospital na nimeambiwa damu ipo kawaida tu

Vizuri basi nakuomba unywe dawa ulizopewa, uache mawazo na usiogope kwani hutokufa na kimaelezo yako unaonyesha huna tatizo la kukufanya ukose amani. Ugua pole na Mwenyezi Mungu akupiganie na nikusihi tu endelea kuwepo humu JF ili utoe mawazo na uchangamshwe na jinsi Watu ' wanavyotiririka ' kwa mambo mbalimbali.
 
Vizuri basi nakuomba unywe dawa ulizopewa, uache mawazo na usiogope kwani hutokufa na kimaelezo yako unaonyesha huna tatizo la kukufanya ukose amani. Ugua pole na Mwenyezi Mungu akupiganie na nikusihi tu endelea kuwepo humu JF ili utoe mawazo na uchangamshwe na jinsi Watu ' wanavyotiririka ' kwa mambo mbalimbali.
Sawa mkuu ila mimi nikiumwa huwa si mwoga wa dawa wala nini isipokuwa jana nilizidiwa sana kwani vipimo vilionesha nina pressure 149/99 ila huwa siachi kutumia dawa mpaka nimalize dose
 
Nashukuru nilienda hospital lakini wamenambia damu yangu ipo kawaida tu haijapungua kwa kusababisha tatizo lolote, nimechomwa sindano na nimepewa ant biotic lakini bado kichwa kinaniuma. Nilipima full blood pressure
KUNYWA MAJI KILA MARA USIHISI UVIVU KUTOA HAJA NDOGO KISHA KAPIME SUKARI KTK HAJA NDOGO.
 
Ushauri wangu mwaka huu acha kuchangia damu, sio kama vibaya. Lakini bora uwe unachangia kila miezi sita kuliko kila miezi 3. Inaweza kupunguza blood cells hasa white cell na kuwa na upungufu wa kinga ya mwilini. Pia kwa maelezo yako hio hospital ya Temeke inaonesha haipo na tahadhari ya nani anae changia damu. Sasa sijui hata kama watakuwa na tahadhari na vifaa vinavyotumika kutolea damu. Ugua pole pia usiwache kutumia dawa, kama maumivu bado yapo nenda hospital nyengine wakuone.
 
Ushauri wangu mwaka huu acha kuchangia damu, sio kama vibaya. Lakini bora uwe unachangia kila miezi sita kuliko kila miezi 3. Inaweza kupunguza blood cells hasa white cell na kuwa na upungufu wa kinga ya mwilini. Pia kwa maelezo yako hio hospital ya Temeke inaonesha haipo na tahadhari ya nani anae changia damu. Sasa sijui hata kama watakuwa na tahadhari na vifaa vinavyotumika kutolea damu. Ugua pole pia usiwache kutumia dawa, kama maumivu bado yapo nenda hospital nyengine wakuone.
Mkuu nashukuru sana yaani kwa hilo ulilolisema ndilo ambalo nimeambiwa baada ya kipimo cha fbp wamenambia kuwa White blood cell zangu zimeshuka sana hivyo kinga ya mwili pia imepungua. nmepewa dawa ya Azithromycin 500mg wamenambia pia kuna some bacteria infection katika damu na nimechoma sindano ya Didolenu 75mg sijui kama hilo jina nimeliandika ipasavyo, lakini kichwa bado kinaniuma
 
Mkuu nashukuru sana yaani kwa hilo ulilolisema ndilo ambalo nimeambiwa baada ya kipimo cha fbp wamenambia kuwa White blood cell zangu zimeshuka sana hivyo kinga ya mwili pia imepungua. nmepewa dawa ya Azithromycin 500mg wamenambia pia kuna some bacteria infection katika damu na nimechoma sindano ya Didolenu 75mg sijui kama hilo jina nimeliandika ipasavyo, lakini kichwa bado kinaniuma
Kunywa maji sana(Lita 1 au 2) na vyakula vya mboga mboga na samaki kwa wiki hii. Pia jitahidi kupunguza mihangaiko na unahitaji kulala angalau masaa kumi kila siku kwa wiki hii.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom