Mgomo wa Madaktari na wanaharakati wetu

Ni wakati sasa watanzania kwa ujumla wetu tutambue serikali sio wamiliki wa mali zatu ni wasimamizi tu sasa sisi wenye mali tunapenda madaktari walipwe vizuri ili waweze kuhudumia afya zetu vizuri sioni kwa nini serikali haitaki kutii matakwa ya wenye mali na hii inaeenda sambamba na jinsi wananchi wanavyoamini ubunge ni kazi ya wito bungeni waende wale tu wenye kutaka kutatua kero za watu na kutaka kuwatumikia wananchi hata bure bila malipo yoyote na si vinginevyo
 
You are very wrong too.

Let's be fair to ourselves as individuals and let's be fair to the public as a Nation, the issue here is ... Cost benefit analysis.

1 . What criteria do the use to defend Drs instead of Patients ?
2 . Who are in the loosing end?
3 . In terms of the scale if we weigh the benefit and effects which side will be affected mostly , obvious the patients.
4 . Kwa lugha nyepesi Kama unatetea haki lazima kuwe na Mizania au Mizani ya kupima ni upande gani unazidi mwingine ndio haki Inavyotaka sasa watu wanaumwa wako Taabani wewe unasema madokta walipwe hizi ni Kebehi kwa Wagonjwa kwakua sisi ni Wazima.

Hatukatai ni haki ya madokta kupata stahili zao lakini Mizani inamfavour Zaidi mgonjwa Kama kungekua na Balance katika kudai haki then busara ingetumika kusupport Drs.

Sasa tunashindwa kuwa realistic just because We want it done based our political ethnicity...that's ****

Let's be fair jamani sisi tumekua watumwa wa Siasa na kudhani kila kitu tukiendeshe kisiasa tu...

Kwahiyo wanaharakati wamechemsha sana sana na ni fedheha kubwa wanapotaka kusupport kitu kuwe na MIZANI sio kukurupuka na kupinga kila kitu Kama watu wa sokoni na Sheria wanazijua...

On the other hand that's purely legal issue .

Shame of them... DESPERATE WIVES

Paulss, jipange tena, apa umechemka mbaya![/QUOTE]
 
Urgency hapa na priority ingepaswa kupewa wagonjwa na sio Ma Drs
Kwani hoja ni uhai ambao hauwezi kusubiri ila Madai ya Ma Drs yanaweza kusubiri na ni kitu kinachojadilika
Mfano ni

Sasa hivi wanasubiri Madai Yao yapatiwe ufumbuZi au yatekelezwe ila Uhai wa mgonjwa hauhitaji kusubiri kwahiyo wanaharakati walikurupuka kwa kutopima nani anastahili atetewe kwanza...

Narudia shame on them desperate wives
 
[/QUOTE]

First, I hate 'em snitches!!!

Second, you are missing the point here!
Wanaharakati walikuwa wanasema hivi, SERIKALI TAFADHALI INGILIENI KATI KATIKA MGOMO HUU< ILI WAGONJWA WAPATE HUDUMA.

Get that! Msiwe wavivu kama kinyonga!!!

 
Tuacheni porojo, watazania tutatawaliwa na hawa wahuni mpaka mwisho wa dahari!!.......kwa mwendo huu!!!.duh!!

Wanaharakati hawakwenda kuwa-support Drs, walikwenda kuiambia Serikali iwajibike kwa kushindwa kutoa huduma za afya na hatimae kusababisha vifo!!,

Ni kazi ya serikali kuhakkisha huduma za afya zinatolewa no matter what, wanaharakati waliona mgomo, wakasema madaktari wanahoja, lakini ni kazi ya serikali kutatua swala lao. baada ya kuona huduma za afya hasa kwenye hospitali za rufaa zimedorora, wao wakaema. no, we cannot have a government that does not act!

Paulss, jipange tena, apa umechemka mbaya![/QUOTE]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…