JF watoe hiyo picha ya ACP hapo juu hatakama.....duuu alafu kuna Mtu atasimama na Kusema kwa sauti Kubwa" Hii Nchi ni nchi yenye demokrasia na amani" Let pray for our nation ,
Ilaaniwe siku alipokutana ME na KE wakakupata wewe na kilaaniwe kitanda kilichowabebaNyie umizaneni ili kusaka maneno ya kusema majukwaani
hapa ndipo napoiangalia POLICCM kwajicho la hasirahili litaishia hivi hivi na police hutawasikia wakihangaika
kisa ni wa chadema