Mgombea Mwenza CCM na CHADEMA uso kwa Macho

Mgombea Mwenza CCM na CHADEMA uso kwa Macho

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,267
DSC_1010.jpg
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassani akimwambia Mgombea Udiwani wa Chadema, Anna Oloiwa, aliyefika kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza huyo, uliofanyika eneo la Madukani, Longido mkoani Arusha leo.
 
Pata picha ingekua mwana CCM amekwenda kwenye mkutano wa ukawa na jezi yake ya CCM ingekuaje!?

uvumilivu wa kisiasa pamoja na kuheshimu mawazo ya wengine ni muhimu sana hasa katika kipindi hiki.
 
Hapo kakutana na mgombea udiwani, je ubunge itakuwaje, maana inaonyesha kapanic.
 
Pata picha ingekua mwana CCM amekwenda kwenye mkutano wa ukawa na jezi yake ya CCM ingekuaje!?

uvumilivu wa kisiasa pamoja na kuheshimu mawazo ya wengine ni muhimu sana hasa katika kipindi hiki.

Umeongea ukweli haswa tuwe na siasa za uvumilivu
 
Hii imeonyesha ukomavu wa fikra.. kuvumiliana, kusikilizana na kukubaliana kutofautiana! Nadhani huyo diwani mgombea hakusukwasukwa na wana CCM na pia alipata fursa ya kusikia mwenyewe yaliyoongelewa.. Hongera wagombea wote wenye ustaarabu na kuheshimiana na kuheshimu wananchi watakaowatumikia watakapochaguliwa!#HojaMakini
 
Pata picha ingekua mwana CCM amekwenda kwenye mkutano wa ukawa na jezi yake ya CCM ingekuaje!?

uvumilivu wa kisiasa pamoja na kuheshimu mawazo ya wengine ni muhimu sana hasa katika kipindi hiki.

Ukienda na jezi ya CCM kwny mkutano wa ukawa utapigwa kama kibaka...
 
Hiyo rangi ya bendera yenu inachefua sana unaweza jikuta unamchapa mtu makofi kwa kuvaa hiyo kijani mgomba.
 
Hapo kakutana na mgombea udiwani, je ubunge itakuwaje, maana inaonyesha kapanic.

Huyu mama ni mtulivu na anatumia Kichwa kufikiri sio hao wengine kufugia nywele ma kunyolea mapanki
 
Huyu mama ni mtulivu na anatumia Kichwa kufikiri sio hao wengine kufugia nywele ma kunyolea mapanki

Hivi hiyo mamaukawa anavyocheka kwa dharau ataweka wapi uso wake wakati samia akiapishwa kuwa makamu wa rais? Kuheshimiana ni ishara ya upendo inayokaribisha siku mpya yenye furaha
 
Back
Top Bottom