Mgogoro wa ushuru Jimbo la Lukuvi

Mgogoro wa ushuru Jimbo la Lukuvi

Joined
Aug 5, 2013
Posts
83
Reaction score
17
Mbunge wa jimbo la Isimani (W.Lukuvi), ameshindwa kuwatetea wananchi wa jimbo la Isimani hususani tarafa ya Idodi na Pawaga ambao wanatatizo kubwa kuhusu kulipa pesa nyingi za ushuru wanaolipa kwa zao la mpunga kwa madai suala hilo kuwa nje ya uwezo wake! Sasa yeye kama Mbunge msaada wake kwa wapiga kura wake ni upi?
 
Wakulima wajitetee wenyewe tu Mbunge kazi imemshinda. Majanga!
 
yani unategemea lukuvi aje akutetee! Yule sasa hiv anahangaika na mikakati ya kuiba kura 2015
 
Back
Top Bottom