Mgogoro chadema kahama washika kasi....

Mgogoro chadema kahama washika kasi....

ICHIMU

Member
Joined
Jul 25, 2015
Posts
58
Reaction score
12
Baadhi ya wagombea walioshindwa warudishwa kahama,na wengine walioshinda wamekatwa..wanachama wapalanganyika wengine waenda ACT..wengine waenda CCM....shibo katibu wa Chadema amewekwa kikaangoni na chama.....haya ngoja tuone.
 
Baadhi ya wagombea walioshindwa warudishwa kahama,na wengine walioshinda wamekatwa..wanachama wapalanganyika wengine waenda ACT..wengine waenda CCM....shibo katibu wa Chadema amewekwa kikaangoni na chama.....haya ngoja tuone.

Mkiona anawafaa mchukueni,hatuwezi kumuita makapi
 
Wewe gamba ueleweki nenda kamwambie akuandikie tena
 
Baadhi ya wagombea walioshindwa warudishwa kahama,na wengine walioshinda wamekatwa..wanachama wapalanganyika wengine waenda ACT..wengine waenda CCM....shibo katibu wa Chadema amewekwa kikaangoni na chama.....haya ngoja tuone.



Waambie waliokutuma na mishiko ya fedhsa waambie tu kuwa safari hii mtarubuni wanaccm kujifanya CDM na ACT lakini mtaliwa na chadema mbele kwa mbele
 
Baadhi ya wagombea walioshindwa warudishwa kahama,na wengine walioshinda wamekatwa..wanachama wapalanganyika wengine waenda ACT..wengine waenda CCM....shibo katibu wa Chadema amewekwa kikaangoni na chama.....haya ngoja tuone.

Ngoja 'TEKELO' MAMVI aende huko!
 
acha wehu we gamba hata Geita mlivumisha kuwa Rogers Luhega kahamia ACT kumbe mnalipwa tumesha wasoma
 
Ujinga huu umepitwa na wakati jengeni hoja za maendeleo,mmewafanyia nini wananchi kwenye Afya?, dawa zipo? Sio kila siku kuleta Umbeya wa oh! Oili chafu,ooh chadema imenunuliwa,oh! Lowasss ananunua watu hadi wanafunzi oh! Kahama kwafukutac0h!
Chadema inakufa baada ya uchaguzi!! Na kila aina ya vichekesho,jengeni hoja safari hii" tunakula ccm,tunalala chadema,subiri,waambie wanaohonga wajiandae
 
Back
Top Bottom