Mgodi wa Tanzanite Unauzwa

Mgodi wa Tanzanite Unauzwa

mchalomba

Member
Joined
Aug 27, 2013
Posts
19
Reaction score
2
Wadau ninauza mgodi wa Tanzanite. Uko Mererani, wilaya ya Simanjiro Arusha. Kitalu D. Anayehitaji bei ni maelewano. Kama uko serious ni pm. Leseni na kila kitu kipo.
 
bila picha ni sawa kuuza mbuzi kwenye gunia
 
Wadau ninauza mgodi wa Tanzanite. Uko Mererani, wilaya ya Simanjiro Arusha. Kitalu D. Anayehitaji bei ni maelewano. Kama uko serious ni pm. Leseni na kila kitu kipo.

Mkuu ni mgodi au ni shimo tu limebaki?
 
Wadau ninauza mgodi wa Tanzanite. Uko Mererani, wilaya ya Simanjiro Arusha. Kitalu D. Anayehitaji bei ni maelewano. Kama uko serious ni pm. Leseni na kila kitu kipo.

Mkuu kitalu d maeneo gani ulishawai kutoa production miundo mbinu yake ikoje dunganya au monorope.
 
Unauza eneo au mgodi? Umejuaje kama ni mgodi? Kama ni mgodi it means una mali sasa kwann uuze? Au na wewe ni bilionea wa arusha unataka kuchange bizna?
 
Kuna baadhi ya biashara nikizisikiaga nashtuka, nadhani hii ni mojawapo.
 
Back
Top Bottom