R RECYCLER Senior Member Jan 14, 2012 104 10 Feb 26, 2012 #1 Wana JF hebu niambieni huu mgao wa umeme ndo umerudi kimyakimya? manake huku kwetu kila siku unakatika afu unarudi jioni......
Wana JF hebu niambieni huu mgao wa umeme ndo umerudi kimyakimya? manake huku kwetu kila siku unakatika afu unarudi jioni......
Babkey JF-Expert Member Dec 10, 2010 4,834 3,655 Feb 26, 2012 #3 egbert44 said: unashangaa ndevu uarabuni? Click to expand... ...labda anashangaa daraja 0 kidato cha nne.
egbert44 said: unashangaa ndevu uarabuni? Click to expand... ...labda anashangaa daraja 0 kidato cha nne.
K kingmajay Member Jul 22, 2011 72 6 Feb 26, 2012 #4 RECYCLER said: Wana JF hebu niambieni huu mgao wa umeme ndo umerudi kimyakimya? manake huku kwetu kila siku unakatika afu unarudi jioni...... Click to expand... Wanaona aibu kutangaza kwani walijitapa kuwa wamekamilika katika kukabiliana na tatizo la mgao, kitu kimyakimya speed 120 kwenye kona nshaaaahhhh.
RECYCLER said: Wana JF hebu niambieni huu mgao wa umeme ndo umerudi kimyakimya? manake huku kwetu kila siku unakatika afu unarudi jioni...... Click to expand... Wanaona aibu kutangaza kwani walijitapa kuwa wamekamilika katika kukabiliana na tatizo la mgao, kitu kimyakimya speed 120 kwenye kona nshaaaahhhh.
S SI unit JF-Expert Member Feb 24, 2012 1,953 766 Feb 26, 2012 #5 Huoooooo!! Afadhal umerudi ninyoshe viwalo vya kwenda kibaruan kesho