Ratiba ya mgawo wa umeme yatolewa
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetoa ratiba ya mgawo wa umeme kwa Jiji la Dar es Salaam, huku maeneo ya viwanda Temeke yakinusurika na mgawo huo. Ratiba hiyo ilitolewa leo ikiwa ni siku moja baada ya shirika hilo kutangaza mgawo huo juzi kwa lilichoeleza kuwa ufuaji wa nishati hiyo
Imeandikwa na: Mwandishi Wetu, tarehe: 26th March 2009 @ 20:00, Maoni: 0, Watu waliosoma hii habari: 15
Soma Hii habari Umeona hiyo ndugu yangu?