Napenda kukutanisha watumishi wa umma mbalimbali na maafisa wanao tumia huu mfumo katika majukumu mbalimbali kupeana hints, maswali na majibu ili kuweza kujiweka mazingira mazuri.
SWALI: Mwenye ufahamu je huu mfumo ushaanza kutomoa masters degree za by thesis (research only ambazo hazina G.P.A) ?
SWALI: Kupitia huu mfumo vitu gani vinaongeza credit kwa mtumishi katika kupanda maharaja au kupata promotion na kukua kitaaluma ?