Shy land
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 6,245
- 2,848
Watanzani wazangu hiki kitu kina kela sana.
kuna system ya mawakala ya kuajili....!
yaan anakuajili yeye lakn anamfanyia kazi mtu mwigne,.?
Hiki kitu kiko hasa kwenye makapuni ya ulinzi,! ya ndan na yakimataifa...!
wanaajili mtu yule ambaye anamfanyia kazi anamlipa kwa kampuni lile milioni moja au laki nane kwa mahesabu ya chini
lakn cha kushagaza askari huyo wakala wake anamlipa laki moja na nusu.
au unakuta kampuni ni kimataifa nchi nyigine askari kama huyo anapewa laki nne., lakn hapa tz analipa laki nanu
uko wap? uwiano hapo..!
serekali na wizara husika mnakubali ukoloni kama huu kuendelea?
kuna system ya mawakala ya kuajili....!
yaan anakuajili yeye lakn anamfanyia kazi mtu mwigne,.?
Hiki kitu kiko hasa kwenye makapuni ya ulinzi,! ya ndan na yakimataifa...!
wanaajili mtu yule ambaye anamfanyia kazi anamlipa kwa kampuni lile milioni moja au laki nane kwa mahesabu ya chini
lakn cha kushagaza askari huyo wakala wake anamlipa laki moja na nusu.
au unakuta kampuni ni kimataifa nchi nyigine askari kama huyo anapewa laki nne., lakn hapa tz analipa laki nanu
uko wap? uwiano hapo..!
serekali na wizara husika mnakubali ukoloni kama huu kuendelea?