Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,156
- 13,258
Kutana na Daktari Mtarajiwa Anayekipiga Coastal Union
Si aghalabu sana kukuta wanasoka wa Tanzania wenye taaluma zao lakini pia wapo wanaosema mshika mbili, moja humponyoka, lakini mbele ya kijana Ayoub Idrisa Semtawa ni tofauti, kwani ameweza kumudu masomo yake vizuri pamoja na soka pia.
Akiwa mwanafunzi wa mwaka wa pili katika Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), tayari Ayoub ni mchezaji wa klabu ya Ligi Kuu ya Bara, Coastal Union ya Tanga wa pili kutoka kushoto waliosimama
Si aghalabu sana kukuta wanasoka wa Tanzania wenye taaluma zao lakini pia wapo wanaosema mshika mbili, moja humponyoka, lakini mbele ya kijana Ayoub Idrisa Semtawa ni tofauti, kwani ameweza kumudu masomo yake vizuri pamoja na soka pia.
Akiwa mwanafunzi wa mwaka wa pili katika Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), tayari Ayoub ni mchezaji wa klabu ya Ligi Kuu ya Bara, Coastal Union ya Tanga wa pili kutoka kushoto waliosimama


