johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,924
- 141,890
Meya wa manispaa ya Ilala ambaye pia ni diwani kwa tiketi ya Chadema amemtaka DC wa Ilala kumletea majina ya wezi wa fedha za Umma na watumishi wazembe ili kamati zake ziwafyekelee mbali. Meya huyo amesema maendeleo hayana chama wala itikadi na kwamba mwizi ni mwizi tu awe Chadema au CCM.
Source TBC!
Source TBC!