tusipotoshane
JF-Expert Member
- Jul 19, 2018
- 730
- 693
Na wewe umegundua jamaa ana point ila haonekani kama ana akili nzuri alivyokoroga hoja kama pombe ya dadii na manguree,nawe una pointi ila huonekani kama upo sawa kimaandishi,hebu soma ulichooandika maandishi kama mtorii wa jioni!!!Kajipange tena. .Una point ila huonrkani kama una akili nzuri, jipa ge weka hoja.