KAJICHO KIVULI
JF-Expert Member
- Jul 30, 2013
- 2,061
- 546
Salamu wana JF kwa majukumu , poleni na kazi
Karibuni nataka kushare nanyi hii trick ambayo ukifuatilia kwa makini utaweza kuunlock RAR/ZIP password ..kitu nilichokipenda hapa huitaji kuwa na knowledge yoyote ya coding zaidi ni kujua lugha .. Tusiende mbali sana twende kwenye somo moja kwa moja juu ya hili
NJIA>>
1..inatakiwa uwe na komputer yako na software ambayo linki yake.. http://freefiledownload.net/rarzippasswordunlock/
2..Utachagua kama ni zip/rar
ENJOY ITS EASY AND FREE!!!!
WELCOME
Karibuni nataka kushare nanyi hii trick ambayo ukifuatilia kwa makini utaweza kuunlock RAR/ZIP password ..kitu nilichokipenda hapa huitaji kuwa na knowledge yoyote ya coding zaidi ni kujua lugha .. Tusiende mbali sana twende kwenye somo moja kwa moja juu ya hili
NJIA>>
1..inatakiwa uwe na komputer yako na software ambayo linki yake.. http://freefiledownload.net/rarzippasswordunlock/
2..Utachagua kama ni zip/rar
ENJOY ITS EASY AND FREE!!!!
WELCOME