Message ya kugomea sensa

Hawa watu wanatumia Masaburi kufikiri! Hatuwezi kuwabadili. Ni kuachana nao na sisi kusonga mbele. Sera zao ni kuzua chochote ili mradi kuupinga Ukristu. Ni mitazamo ya karne za zamani wakati wa vita za kueneza dini. Mpaka leo wanadhani dini inaweza kuenezwa kwa lazima. Chema chajiuza! Dunia ya leo yapaswa kuwa ya kistaarabu zaidi tofauti na zama za mababu zetu na wala huwezi kuwalaumu mababu kwa sababu kwa wakati huo binadamu alikuwa na kiwango chake cha uelewa tofauti na binanadamu wa leo. Binadamu wa leo yapaswajue binadamu wote ni sawa na ndugu bila kujali imani za kidini. Wapo wanaotumia dini kwa malengo yao binafsi na watu waaina hii wanatumia udhaifu wa uelewa wawaumini wao kuwaunga mkono kwa maslahi binafsi. Hatakwenye vyama mambo haya yapo, kumbuka CCM inapohubiri kuwa vyama vya upinzani ni vita wakati ikijua kuwa kwa hakika si kweli na kama ingekuwa kweli chama hicho kikiwa tawala kisingeruhusu mfumo wa vyama vingi uruhusiwe kikatiba.
 
Nashauri Serikali yetu tukufu iwashauri waislamu watumie chombo chao kinachotambulika kisheria kama BAKWATA kufanya sensa kwa waumini wao ili takwimu hizo zisaidie kwenye mipango mbalimbali ya kuendeleza uislamu. Naipongeza pia Serikali kwa maamuzi yake ya kutokukubali mambo ya kidini, kikabila na kikoo kutokuingizwa kwenye mipango na sera za nchi. Hii inasaidia sana ktk kuhakikisha nchi yetu haitumbukii kwenye ubaguzi wa matabaka haya. Mifano iliyotolewa kama kutambua watu wanaoishi kwenye mapango na hawalimi sidhani kama ni lazima watambulike kikabila - hawa watajulikana kama wananchi wa eneo fulani wana tatizo fulani (km wawindaji etc) hivyo wasaidiwe kwa namna gani - kwani mpaka wajulikane kabila lao ndipo Serikali itatue tatizo lao?. Ina maana kama eneo fulani lina kero ya barabara hivi mpaka ijulikane kuwa wananchi wa eneo hilo ni kabila gani ndipo wasaidiwe?
 
Waislamu ni watu wa ajabu sana, Ok sensa imehesabu waislamu ni 87% what next? Barabara zitakuwa ni ten ways au mafuta yatashuka bei?

Tufanye 98% kbs, nini kitabadilika?? Somalia waislamu ni 100%, Angola wakristo ni 97%. Hizi data zimesaidiaje hizi nchi kimaendeleo (Nyie wenyewe ni mashahidi). Nyie ndugu zetu mnatakaje? Pls fikirieni vizuri
 
Hawa jamaa siju watu wa namna gani kwa kweli daah! yani chokochoko tu muda wote hii dini ikoje?
 
TIMING said:
kuna tatizo gani kuondoa kipengele cha dini kwenye sensa?? hadi sasa sijapata jibu
Na wala hutapata jibu Mkuu! Hawatakaa na kuwasikiliza Waislamu kutokana na kujawa na kiburi, yote hii ni mazoea ya kuwatawala,kuwaburuza na kuwakandamiza kwa muda mrefu, hivyo hawawezai hata kuona haya mabadiliko yanayokuja kwa kasi.
Kivyovyote vile aidha wayasikilize au wasiyasikilize madai ya Waislamu(sio Sheikh Ponda peke yake),kuna advantages kwa Waislamu katika hili.
 
Wacha mauongo bana

Tanzania's population has been estimated to consist of:
Christian 62%,
Muslim 35%,
followers of indigenous religious groups 3%

Mungi, statistics za dini, kabila zinatofautiana depending who is giving them i.e CIA, wizara, mungi mwenyewe, au mtu yoyote. Hizo number ulizota mwingine anaweza kutoa set tofauti, but the point I am trying to make here is this, kujua au kutojua idadi ya waumini wa dini mbalimbali hakuna madhara kwenye mipango ya serikali.
 

Hivi hiyo message inatumwa kwa watu wote au ni kwa waislamu tu? kama ni kwa wote basi inawahusu wote hata wale wasio na dini
 

Samahani Mkuu, sijui ni wenge langu, maana lengo ilikuwa kum-quote Pasco.
 

Kwa hiyo kwa kususia ndio unapata jibu la maswali yako? Kweli akili nzuri ukiwa nayo.

Vipi ikiwa sasa nia hiyo ipo na wewe pamoja na wenye akili wenzio mmeshaharibu takwimu?
 
TBC siku ya sikukuu ya Uhuru walitoa kuwa Christian 65% moslems 32
 
Tanzania need to be reborn, we have a lot to fight against and not ourselves.,
Stop the Muslim/Christian thing for it does not help us..


I BELIEVE IN CHANGE, I AM A CHANGE.. we are Tanzanians' and this is our country, together we can...
 

sijui ni kiburi, sabotage au nini??

tuondoe kabila na dini kwenye sensa tubali na jinsia, unro na other demographic data

sidhani kama dini inaweza kubadili namna ya kupanga elimu, tiba, ujenzi wa barabara, reli, viwanja vya ndege, kilimo, madini, umeme, matumizi ya ardhi nk

afterall hizo plans siku hizi ni kama ndoto tu
 

hayakuhusu shughulikia na ya kwako!
 
Pasco Makazi hupimwa sambamba na makisio ya idadi ya watu,sehemu za kujenga misikiti/makanisa pia hupimwa.Kumbuka Tanzania ni nchi isiyofungamana na dini yoyote hivyo hakuna mtu yeyote mwanye akili za kijuha kugawa makazi kutokana na itikadi za kidini,mfano kilimanjaro uwaweke waisilamu ama wakristo tu,haiwezekani hata siku moja kwa nchi kama Tanzania kwa sababu uhamaji wa ndani ni mkubwa sana ,leo hii sehemu ambapo kulikuwa na wakristo tupu kuna waisilamu .Pia ujua mipango ya makazi huwa inafanywa kwa kufocus miaka zaidi ya 25 mbele.Hizo fikra za kutotenga maeneo ya misikiti kwa sababu mahala fulani wapo wakristo ni ufinyu wa mawazo unauhakika miaka 100 ijayo kuwa hakutatokea familia za kiisilamu!!!? .Funguka kaka mkubwa,hao wanaotoa hayo matamko na zaidi ya hicho wanachokiainisha.

Hizo variables wanazotaka ziweke ni Insignificant watakapoainisha matokeo ya sensa ,hivyo haina mantiki yoyote kutumia rasilimali za uma kufanya jambo lisilo na manufaa.
 
Last edited by a moderator:
Ngoja hata mimi niandike yangu kwa wapangan wote amba hawataki kuhesabiwa
 

We bure kabisa, tena bora na debe la pumba kuliko akili zako. Mifano unayotoa haiwiani na kinacholinganishwa hapa.

Watoto wa kike na wa kiume wana ulazima wa kutambulika kwa jinsia zao kwa kuwa ipo haja ya kuangalia mahitaji yao kufuatana na jinsia zao. Kwa mfano mavazi na huduma za uzazi na elimu. Vile vile kujua ni wepi watachukua majukumu yepi katika familia. Lakini kuwajua watu kwa dini zao kuna ufanani upi unaolingana na jinsia kama sio mjinga wewe?

Kuna nini ambacho serikali huwa inakigawa au inakiagiza kwa misingi ya dini? Umeshawahi kusikia kuwa serikali imeagiza Wakristo wachimbe kisima au waislamu walinde mtaa usiku?

Mimi naamini kwamba mtu yeyote mwenye akili angalau kidogo anaweza kujua kuwa hatuhitaji kutumia gharama kufanya haya. Ni ule ujinga wa manung'uniko tu ambao watu fulani wasio na akili wanao vichwani na wanajitahidi jamii yao yote iwe hivyo.

Rais akiulizwa nchi yake ina wakristo wangapi na waislamu wangapi jibu lake ni rahisi: HATUNA TAKWIMU HIZO KWA KUWA HATUNA JAMBO LOLOTE A KITAIFA TUNALOLIFANYA KWA MISINGI YA DINI WALA UKABILA

Muda huu mnaojitia ubize wa kujua ni jinsi gani Rais hatoweza kujibu swali hilo la kipumbavu, mngeutumia kujiuliza alishindwaje kujibu alipoulizwa kwa nini nchi yetu ni maskini, pengine ungekuwa mchango kwa taifa.

Halafu labda nikuulize wewe binafsi; hivi sensa iliyoandaliwa kwa miaka zaidi ya mi3 inaweza kufanyiwa alterations kwa miezi miwili? (Fedha, usimamizi, mafunzo na maandalizi ya mrejeo?)
 

hatujamuacha Mungu aliyetuumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…