kosa kubwa alilofanya ni kujiita KING OF KINGS! huwez chukua nafas ya Mungu kisa unawapa wa2 vi2 bure, atubu kwanza na kujinyenyekesha
Ghadaffi ia an ARAB to me than an AFRICAN.....just happened to be on African soil....a good DICTATOR though he has overstayed like a KING he had previously deposed
African leaders are puppets! I've haven't heard a word from atleast one of them...Ghadafi we got your back in our players.
Uko sahihi Abdulhalm, kuwapa wananchi vitu bure, ambovyo actually siyo vyake yeye kama anavyotaka tuamini hivyo, wakati huku akifanya familia yake ndiyo watawala wa nchi ya Libya ni kosa lake kubwa sana. Kuwanyima watu uhuru wa kuongea, kuwaita wenye mawazo tofauti na yeye kuwa ni vibaraka wa nchi za ulaya na USA, kuwatusi kwa kila aina ya matusi anayo yajua siyo halali yake.
Kumpindua mfalme wa nchi hiyo na yeye kutaka kuongoza kama mfale mpaka afe na kumkabidhi mmoja wa watoto wake uongozi wa nchi ni dharau kwa wananchi wengine wote wa Libya. Alikwa na opportunity kwa miaka kadhaa ya kubadirisha style ya uongozi wake kutoka huu wa kiimla na kuleta uongozi shirikishi/kidemokrasia lakini ameeishia kulewa madaraka na kujiita The King of Kings.
Awe tayari kuvuna aliyopanda
Kwani Uhuru wa kuongea una maana gani kama huyo unayemweleza hakusikilizi, sisi tuna uhuru wa kuongea kwani ukiongea ni nani anayekusikiliza. Mimi nafikiri nchi zetu za Ki-Afrika ambazo tunakabiliwa na changamoto nyingi katika maisha ya kila siku (mahitaji muhimu) tunahitaji uongozi wa kidikteta kwa kipindi fulani, huu mfumo wa demokrasi ni uhuni mtupu.
Kumbuka hapo mwanzo Mungu alikuwa kiongozi wa watu lakini baadae wakataka uongozi wa wanadamu hapo ndipo matatizo yalipoanza. Nami ninauona huu mfumo wa demokrasi kwa nchi za Afrika ndiyo mwanzo wa matatizo.
Africa is and will alwaiz remain for Africans.....DEATH TO OBAMA MJALUO MZUSHI....DEATH TO UN...very touching message WAKE UUUUUUUUUUUUUPPPPPPPPP AFRICA....STANDS FOR YOUR RIGHT N DIGNITY...
I LOVE U MUAMMAR UR MY HERO.....
Sasa Gaddafi anajifanya yeye ni malaika siyo? Kwa nini anajitetea mpaka analia? Siwashabikii hao ma-west lakini kwa hili ngoja wamtandike vizuri mpaka akome na liwe fundisho kwa vizazi vilivyopita na vijavyo. Kama anafikiria Obama ni mtoto wake basi imekula kwake!
IMHO, Africa does not need the likes of Gaddafi & co.
You don't know much about Libya my brother. He overstayed but his people are enjoying. Every basic need is free. Where will you get that in this world today? They spoiled Benghazi people, without knowing hey will never be the same without Ghadafi. Trust me after Ghadafi leave or Die, life will change completely in Libya. And those people who are advocating for his departure at any cost they will pay the price. Nothing is for free in this world. You help me to throw him out, will pay you oil for twety five years.
Haisadii sana kutumia lugha kama hii. Unajipa presha ya bure!... mahuni haya majizi.....na bado kuna mtu anasema wazungu wana faa SHAME ON U...nawashangaa sana mnaoibiwa madini hapa na mko kimya mnasifia ujinga....hata hapa mgeibana Barrick mngeona cha moto...wao wanataka maslahi mambwa haya mazungu I HATE U EUROPE N AMERICA DEEATH TO U DOGGY......
Why Afrikan brothers dont speak for him? Where is Mandela, Mugabe, Kaunda and other revolutionary people in Africa!!!! Today is Ghadafi and who next.....
Am touched with the word of this true son of Africa....... Jesus will help him.
You don't know much about Libya my brother. He overstayed but his people are enjoying. Every basic need is free. Where will you get that in this world today? They spoiled Benghazi people, without knowing hey will never be the same without Ghadafi. Trust me after Ghadafi leave or Die, life will change completely in Libya. And those people who are advocating for his departure at any cost they will pay the price. Nothing is for free in this world. You help me to throw him out, will pay you oil for twety five years.