Lakini JK hajawahi kupiga kelele za kupinga rushwa na ufisadi hadharani kama ambavyo ole Sendeka alivyokuwa anajinasibu kwa muda mrefu.
Hivi sasa mabomu yanalipuliwa eneo la Kolila karibu na KIA kisa ni uchaguzi wa Jumapili wa Arumeru-Mashariki.
Sababu ni kwamba mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka anashikiliwa na wananchi wenye hasira kali baada ya kumfuma akigawa fedha (Mlungula) katika kijiji cha Kolila.
Polisi wamefika na kujaribu kumuokoa lakini wananchi wamegoma kumuachia na hivyo mabomu ya machozi yanafyatuliwa.
Jana tena mbunge wa Arumeru-Magharibi, Goodluck Ole Medeye alibambwa na wananchi akigawa rushwa na kuwekwa chini ya ulinzi na vijana wa chadema. Ila hili la leo linaelekea kuwa serious zaidi
Mengine tutawa..update baadae.
Hakuna watu waongo kaa hawa magwanda, watuoneshe ushahidi wa hao watu kugawa fedha! wametumwa kuanzisha fujo wanajuwa maji yamewafika shingoni, sababu za kijinga hizo na wala haziingii akilini. Eti Ole Sendeka anagawa rushwa!
Hivi sasa mabomu yanalipuliwa eneo la Kolila karibu na KIA kisa ni uchaguzi wa Jumapili wa Arumeru-Mashariki.
Sababu ni kwamba mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka anashikiliwa na wananchi wenye hasira kali baada ya kumfuma akigawa fedha (Mlungula) katika kijiji cha Kolila.
Polisi wamefika na kujaribu kumuokoa lakini wananchi wamegoma kumuachia na hivyo mabomu ya machozi yanafyatuliwa.
Jana tena mbunge wa Arumeru-Magharibi, Goodluck Ole Medeye alibambwa na wananchi akigawa rushwa na kuwekwa chini ya ulinzi na vijana wa chadema. Ila hili la leo linaelekea kuwa serious zaidi
Mengine tutawa..update baadae.
Aisee EMT you made my day, leo nilikuwa sijacheka lakini hii picha imenifanya nicheke sana. Kweli ukiwa na stress njoo JF.
NIna wasiwasi sana na ueledi wa hawa mamoderators wetu wa JF, mnawezeje kuacha jambo kama hili ambalo halina credible source kuendelea kueko jamvini? mmethibitisha hizi habari? laiti mtu angeandika slaa abambwa akitoa rushwa am sure habari hiyo hata kama ingekuwa ni ya kweli basi isingechukua round na kufutiliwa mbali! let us be realistic
Hakuna watu waongo kaa hawa magwanda, watuoneshe ushahidi wa hao watu kugawa fedha! wametumwa kuanzisha fujo wanajuwa maji yamewafika shingoni, sababu za kijinga hizo na wala haziingii akilini. Eti Ole Sendeka anagawa rushwa!
Mkuu wangu umenichekesha sana ucku huu,nalala kwa Amani sana
h haaaaaaaaaa, shikamoo EMT!