Mengi yanajitokeza uchaguzi wa mwaka huu

Mengi yanajitokeza uchaguzi wa mwaka huu

lymsa21

Member
Joined
Jul 29, 2015
Posts
32
Reaction score
0
MWAKA HUU BANA !!!!!
1.ukibandua mabango ya UKAWA Basi UMETUMWA NA CCM
2.ukisema lowasa ni fisadi na kuwa achaguliki BASI umepewa pesa
3.ukikatwa ukawa na kutimkia ACT, Basi we mnafiki,
4. Ukisema piiiiiiiiipoooooZZZ BASI umeamua kuipga chini ccm na kukumbatia mafisadi
5.ukisema MABADILIKO inabakia !!!!!!!!!
 
Na mengi mengineyo:
Ccm wanaambiwa hawajitambui.. Ukawa wao ni nyumbu. Ila hii ya nyumbu mtu asikuite face to face.
 
Back
Top Bottom