swissme
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 13,662
- 19,880
Infinix, tecno, Intel wote baba yao mmoja kutoka hong kongSamahani ndugu, Mimi naomba kufahamisha hizo tecno very classy Kuliko samsung
3tu!
Duuuu binti gani huyoKuna binti alisema et alikua anakuheshimu sana ila heshima yako imeshuka
Unaongea kisayansi, mtu hata hajawahi kutumia anaishia kuiponda tuMimi ni mpenzi wa teknolojia mbalimbali.Labda niwaambie wale anti-tecno.
Tecno brand ni nzuri kwa basic function za simu ambazo ndio wengi wetu tunazitumia kila siku mf.kupiga,kutuma meseji na kuperuzi mitandao ya kijamii. Sidhani kama haya pekee yanahitaji mtu awe na iphone 7 ama Samsung S7!
Naongea nikiwa mmoja ya watu waliowahi kutumia hizo simu na sikukumbwa na tatizo lolote so far.
Kiukweli Tecno ziko njema in-terms of perfomance on the basics hasa katika utunzaji wake wa charge, ukizingatia kuwa kipindi wanaanza tu na smartphone zao makampuni mengi makubwa yalikuwa hayafui dafu katika hilo.
Kabla yao ilikuwa ili umalize siku lazma kuicharge android yako mara 3-5 kwa siku na hio ni katika heavy usage, tatizo likazidi hadi yakaletwa ma power bank yale. Mfano mzuri ni zile htc za mwanzo sense,desire na Galaxy s,ace, pocket n.k
Ila baada ya tecno kuja na N na P series tukazitumia hali ilikuwa tofauti. You would last up to 7 hours on a single charge on heavy usage. Kwa siku ukachaji mara 2 tu. Siku usipoichezea kabisa inakufikisha hadi masaa 12. That was somewhere 2009-2011.
So walishatengeneza legacy na sasa wameimarika maradufu katika hio sector unaweza pata up to 10+ hours on heavy usage katika matoleo yao mengi ukiachilia zile L series zinazokupa 12+ hours of heavy usage.
Ni baada ya muda sana ndio kampuni kubwa zikagutuka kuwa zinapigwa bao kisa battery efficiency mbovu. Nakumbuka 2013 ndio wengi waliamka kuwa a smartphone is also about battery power. Mapinduzi yakianzia kwa Sony, Lenovo, Motorola na brands nyengine zikafata tokea hapo ndio walau android zinazovumilia charge zikaanza kutufikia mtaani ila tecno walishakuwapo vyema zaidi.
So watu wanaosifia tecno musiwabeze, they are also satisfied customers ambao naamini portion yao walishatumia brand names kubwa za awali wakaona tofauti katika kukidhi haja zao za kimatumizi.
Mi siwezi kuwa biased kuacha ku acknowledge ukweli. Elewa!!!
Infinix, tecno, Intel wote baba yao mmoja kutoka hong kong
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Unaongea kisayansi, mtu hata hajawahi kutumia anaishia kuiponda tu
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Tecno ni mkombozi wetu
Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
inabidi muanzishe jamii forum ya wenye simu zenuMimi huwa nawambia wachague wenyewe, simpelekei mtu kitu kwa kumchagulia, mwenye kuchagua SONY Experia sawa, mwenye Samsung sawa, mwenye IPhone sawa, nawapelekea tu, au wakija huku nawanunulia nawapa wanarudi nazo huko.
Ni vitu vya kawaida tu, given kwamba mtu anakuwa na uwezo wa kuzinunua hizo kumi kwa mpigo na kuzigawa kwa wanazotaka bila kufanya biashara.
Nimerudi bongo airport na mabegi yamejaa zawadi nawambia customs hizi zawadi wamekataa, wamesema wewe lazima utakuwa unafanya biashara. Zawadi haziwezi kuwa nyingi hivi.Nawaambia sasa nimekaa Marekjani nyundo kumi, passport hii hapa, mnataka nije kitoto? Wamekataa. Sijauza hata kitu kimoja. Kuja kufanya hesabu likizonzimapamojana airfare zawadi etc imeni cost karibu $20,000.
Watu sasa hivi tunaongelea real estate in major cities of the world.
Halafu unakutana na mtu anaanza habari za kuringishiana simu.
Kachelewa sana maisha haya huyu.
Watu tunatafuta satellite phone yeye anaongea habari za Samsung/Iphone/Tecno ?
Watu tunaangalia habari za deal za kiwanda cha simu, yeye bado anashobokea simu?
Wewe matatizo yako hayajaishia kwenye TECNO.inabidi muanzishe jamii forum ya wenye simu zenu
sie team makapuku
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Nilikuwa natumia Sony z2, mbona sioni tofauti na hii tecno, kikubwa ni ubora picha ndio Sony niliona wako vizuri, walianza na Africa, sasa hivi wamefika India, mid east, halafu pia zimepitishwa na tbs sio kwamba wamefika kienyeji huku kwetuPole! Tecno ni bora simu tu ambazo wachina waliamua wawaletee sababu mnapenda mambo makubwa uwezo hamna
Nilishasema hapo awali kutumia tecno wala si dhambi!
Ni uwezo wetu ulipofika
Kwani mbona hata mbuzi anakula kutokana na urefu wa kamba yake.
Ila mambo ya "sizitaki mbichi hizi ndiyo nayopinga"
Unasemaje samsung na iphone mbaya na unatumia simu ya laki 2 ambayo huwenda huko Samsung au iphone ndio simu za bei rahisi sana??
Ni kweli kweli Samsung na Iphone wanasimu mbaya au uwezo wa kununua yenye quality zaidi kutoka kwao huna?
mkombozi huyu tecnoNikweli, Tecno imeshika kasi... Pia ni nzuri na ipo vizuri katika kuperuzi na inapatikana kwa urahisi.....
Nilikuwa natumia Sony z2, mbona sioni tofauti na hii tecno, kikubwa ni ubora picha ndio Sony niliona wako vizuri, walianza na Africa, sasa hivi wamefika India, mid east, halafu pia zimepitishwa na tbs sio kwamba wamefika kienyeji huku kwetu
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Maziwa yapi? kauli tata sana hiiTetetetete
Sawa muhuza maziwa wa lumumba.
Swissme
Phantom series ndugu embu cheki bei zake
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app