mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,411
- 7,016
Hali?
Huu ni unyama!
Kuna uzi humu nimeusahau jina, kuna member(id nimeisahau) humu alikuwa anajitapa wazi wazi kuwa alipokuwa chuo, "washkaji" na baadhi ya "mademu" walikuwa wanamletea nyodo, kisa jamaa alikuwa low profile.
Akaongeza kuwa alikuwa anaumia sana... after graduation, akapata shavu la kazi kitengo chenye ulaji. Hivyo wenzake wakawa wanaomba "connection", akawa anawaomba cv then wakiondoka anafutia meza yake na kutupa kwenye dustbin.
My take:
Huu ni unyama, rejection isitupelekee kuwa wanyama kiasi hiki. Tusilipe ubaya kwa ubaya, tulipe wema kwa ubaya.
Akisoma uzi huu atajijua, bad enough bado anaendelea kuwatosa wenzake. Nawaombea msamaha, wasamehe... anzeni ukurasa mpya!
Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
Huu ni unyama!
Kuna uzi humu nimeusahau jina, kuna member(id nimeisahau) humu alikuwa anajitapa wazi wazi kuwa alipokuwa chuo, "washkaji" na baadhi ya "mademu" walikuwa wanamletea nyodo, kisa jamaa alikuwa low profile.
Akaongeza kuwa alikuwa anaumia sana... after graduation, akapata shavu la kazi kitengo chenye ulaji. Hivyo wenzake wakawa wanaomba "connection", akawa anawaomba cv then wakiondoka anafutia meza yake na kutupa kwenye dustbin.
My take:
Huu ni unyama, rejection isitupelekee kuwa wanyama kiasi hiki. Tusilipe ubaya kwa ubaya, tulipe wema kwa ubaya.
Akisoma uzi huu atajijua, bad enough bado anaendelea kuwatosa wenzake. Nawaombea msamaha, wasamehe... anzeni ukurasa mpya!
Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app