Medical report ni confidential document, ni mali ya hospitali alipotibiwa mgonjwa.
Lakini itatolewa tu:-
1. Endapo mgonjwa ataihitaji ili kuiwasilisha mahala pake pa kazi.
2. Taasisi iliyomuajiri itahitaji taarifa ya mgonjwa ambaye ni mfanyakazi wao.
Kuhusu malipo endapo mgonjwa mwenyewe ataihitaji ni Tsh. 20,000
Na endapo Taasisi itahitaji ni Tsh. 100,000 /150,000 (Kama sijakosea).
Utaratibu wa kufuata:
1. Fika hosp. husika ulipokuwa unatibiwa, andika barua ya kuomba hiyo taarifa.
2. Utalipia kiasi cha fedha tajwa.
3. Utakuwa directed kwa daktari aliyekutibu.
4. Ukishakamilisha hatua hizo utapatiwa ripoti yako.