Salaam Wakuu,
Nafurahi kupata pahala kama hapa, ambamo tunapata Maarifa.
Niko kwenye initial stages za kufungua Microfinance, Nina mtaji wa wastani. Nataka ni -deal zaidi na wakopaji wadogo wadogo wanao hitaji (20,000 to 50,000) Naamini wapo wahitaji wa kuanzia kiwango hiki.
Nafikiri kutoa mikopo hio kwenye groups mfano watu 10 @ 20,000Tshs.
TafaDHALINI, mwenye experience naomba nisaidiwe Mechanism ya kuendesha shughuli hi.
Nawasilisha,