Smarter
JF-Expert Member
- Nov 10, 2008
- 514
- 97
Salaam Wakuu,
Nafurahi kupata pahala kama hapa, ambamo tunapata Maarifa.
Niko kwenye initial stages za kufungua Microfinance, Nina mtaji wa wastani. Nataka ni -deal zaidi na wakopaji wadogo wadogo wanao hitaji (20,000 to 50,000) Naamini wapo wahitaji wa kuanzia kiwango hiki.
Nafikiri kutoa mikopo hio kwenye groups mfano watu 10 @ 20,000Tshs.
TafaDHALINI, mwenye experience naomba nisaidiwe Mechanism ya kuendesha shughuli hi.
Nawasilisha,
Nafurahi kupata pahala kama hapa, ambamo tunapata Maarifa.
Niko kwenye initial stages za kufungua Microfinance, Nina mtaji wa wastani. Nataka ni -deal zaidi na wakopaji wadogo wadogo wanao hitaji (20,000 to 50,000) Naamini wapo wahitaji wa kuanzia kiwango hiki.
Nafikiri kutoa mikopo hio kwenye groups mfano watu 10 @ 20,000Tshs.
TafaDHALINI, mwenye experience naomba nisaidiwe Mechanism ya kuendesha shughuli hi.
Nawasilisha,