Mdude CHADEMA kapotelea wapi?

 

Attachments

  • 20190914_-1457411342.jpg
    25 KB · Views: 6
Sasa mkuu hapo kwenye like why umedelete nikitaka kukujua si naenda kwenye account ya mdude nakuona au umefuta kotekote
Sasa kafanya umjuwe na ilikuwa usingewza kufikiria kama ni yeye. Itabidi uhesabu likes mpaka uipate ya 486th
 
Nikujue alafu inisaidie nini maishani mwangu?
Ili mradi wewe ni mwana jf utachapwa accordingly
Kumbe na wewe una akili zile zile za wale madogo wanaosema umesahau kuweka namba ya simu!. Ungenijua usingeandika pumba ulizoandika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…